Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,341
Msomi mmoja alikuwa anafanya
utafiti, akamchukua chura
akamwambia 'Ruka', chura akaruka
mita 4, msomi akaandika katika
kitabu chake kuwa chura mwenye
miguu minne huruka mita 4. Kisha
akamkata mguu mmoja na
kumwambia 'Ruka' chura akaruka
mita 3, msomi akaandika kuwa
chura mwenye miguu mitatu
huruka mita 3. Akamkata mguu
mwingine na kumwambia aruke ,
chura akaruka mita 2, akaandika
kuwa chura mwenye miguu miwili
huruka mita 2, kisha akamakata
mguu mmoja, na chura akaruka
mita moja, msomi akaandika chura
mwenye mguu mmoja huruka mita
moja. Hatimae akamkata mguu wa
mwisho, na kila alipomwambia
'Ruka' chura hakuruka, msomi
akaandika kuwa katika utafiti wake
amegundua chura akikatwa miguu
yote huwa anakuwa kiziwi.
utafiti, akamchukua chura
akamwambia 'Ruka', chura akaruka
mita 4, msomi akaandika katika
kitabu chake kuwa chura mwenye
miguu minne huruka mita 4. Kisha
akamkata mguu mmoja na
kumwambia 'Ruka' chura akaruka
mita 3, msomi akaandika kuwa
chura mwenye miguu mitatu
huruka mita 3. Akamkata mguu
mwingine na kumwambia aruke ,
chura akaruka mita 2, akaandika
kuwa chura mwenye miguu miwili
huruka mita 2, kisha akamakata
mguu mmoja, na chura akaruka
mita moja, msomi akaandika chura
mwenye mguu mmoja huruka mita
moja. Hatimae akamkata mguu wa
mwisho, na kila alipomwambia
'Ruka' chura hakuruka, msomi
akaandika kuwa katika utafiti wake
amegundua chura akikatwa miguu
yote huwa anakuwa kiziwi.