successor
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 3,078
- 6,123
Kwa maana hiyo hakuna kufa. Siamini kama kuna kitu kinaitwa maisha baada ya kifo, maana kinachokufa kinakuwa hakipo popote pale.
Kama kuna maisha mengine tofauti na hapa duniani, maana yake hatufi bali tunahama tu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.
Kama kuna maisha mengine tofauti na hapa duniani, maana yake hatufi bali tunahama tu kutoka sehemu moja kwenda nyingine.