beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mitandao inadanganya sana! Ukiingia humu unaweza kudhani kwamba nchi nzima ipo aware na masuala ya kisiasa nchini..
Wenye access na mitandao ni wachache sana hivyo matokeo ya utafiti haya yanaweka wazi hali halisi ambayo nakubaliana nayo..Just imagine population ya huko shamba.. Wangapi wanatumia hii mitandao?
Ndio maana hii mikutano ya kisiasa ilifaa sana iachwe ili angalau wanasiasa wafike huko wakawafundishe wananchi uraia na masuala nyeti ya kitaifa kupitia siasa.
Wananchi kutojua siasa ni hasara.. Maana yake wapo gizani hawajui nchi inaendeshwaje, haki zao ni zipi na wajibu wa wanaowachagua ni upi..
Tusiliache lenyewe hili kundi. 61% ni kubwa jamani!
Wenye access na mitandao ni wachache sana hivyo matokeo ya utafiti haya yanaweka wazi hali halisi ambayo nakubaliana nayo..Just imagine population ya huko shamba.. Wangapi wanatumia hii mitandao?
Ndio maana hii mikutano ya kisiasa ilifaa sana iachwe ili angalau wanasiasa wafike huko wakawafundishe wananchi uraia na masuala nyeti ya kitaifa kupitia siasa.
Wananchi kutojua siasa ni hasara.. Maana yake wapo gizani hawajui nchi inaendeshwaje, haki zao ni zipi na wajibu wa wanaowachagua ni upi..
Tusiliache lenyewe hili kundi. 61% ni kubwa jamani!