Ukiwachukua watoto wawili wadogo wakike na wakiume ambao hawajaanza kuongea neno lolote ukawatenga peke yao kabisa hadi wakifika umri wa kubalehe. Kwanza nadhani hawatajua lugha yoyote zaidi ya ishara tu. Pili miili yao itakapokuwa inasisimka kimapenzi watajuwaje kuwa kitu fulani kinatakiwa kidumbukizwe mahali fulani katika suala zima la reproduction?