Utafiti: Kwanini walimu wamefika hapa walipo leo

Utafiti: Kwanini walimu wamefika hapa walipo leo

ni kweli kuna comments humu nikiziangalia najisikia kulia hususani wale wote wanaotetea CWT
 
Nakubaliana na utafiti wako kwa asilimia 45 lakini napingana nawewe kwa asilimia 40 hasa pale unapo kifananisha CWT na chama cha madreva maana were mwenyewe unatamani kuwa dreva kuliko fani yako ya ualimu.
Chama cha walimu ni trade union ambayo lengo kuu nikumtetea mwalimu nakudai haki ya mwalimu kutoka kwa mwajiri kwa vile tunaamini umoja ni nguvu.Angalia ni jinsi gani unavyoshirikiana na mwakilishi wa CWT mahala pako pa kazi.CWT pamoja na changamoto zake iko imara kuliko chama kingine cha wafanyakazi Tanzania.

Asilimia 15 umeziacha wapi sasa
 
Ukianza kuutafakari ualimu unapaswa kuikumbuka historia ya nchi au ya elimu kumbuka tu educational foundations utajua
Walimu walitazamwa kwa namna mbili baada ya uhuru kwanza tasnia muhimu ya kuleta maendeleo kwa watu na kwa haraka na ndio maana umoja wa kisoviet uliisaidia tz kama china mlengo mwingine ni uzalendo wa utumishi uliotukuka ambapo ulijumuisha kada zote ikiwemo afya na jeshi

Pressure ya nje juu ya elimu ikatnua wigo wa elimu wakataka ahule ziwe nying watoto wasome na serikali ikakubali ikarecruit watu wa kawaida kabisa kuamzia mwaka 1978 efa

Mtindo huu kipind unaingia nchi ilikuwa na mgogoro wa kisiasa na uganda pia kuporomoka kwa uchumi kufanxa walimu walioajiriwa kupewa elimu ya kawaida tu juu ya ufjndishaji ambao haukuwa na tija kielimu kwa wakati huo elimu ya watu wazima walifanxa kaz nzuri kuliko misingi na sekondari walikuwa wanapokea watoto bright kabisa hivyo ufundishsji ukawa si kigezo cha mtoto kufaulu

Naendelea
 
Walimu wengi wanapenda kujipendekeza kwa wakuu wa shule ili wapendekezwe kwenda kazi maalumu
Ndio maana mnadharauliwa. Wakuu wa shule sio walimu?
Kazi kweli kweli eti Mwalimu hata wewe!
 
Efa iliwafanya walimu kulipwa kawaida kwa sababu walikuwa wasaidiz wa kifundisha na haikuwa taaluma kama sasa ualimu ulikuwa kama jeshi au jkt kujitolea malipo n ziada
Migongano ya utawala na jeshi ulibadilisha stahili za wajeda wamegoma mwa la 74na79 na kumfanya nyerere kuwajali na waliofuatia kufanya hivyohivyo mpaka leo uanajeahi ukawa kazi na nguzo imara ya taifa lkn si elimu na walimu

Madaktari
Kwa kuwa nchi ilianza bila madkatri hadi wachina kuja kusaidia kutibu
Vijana walionda soma nje na ugumu wa kazi ile nyerere aliwajali akawapata stahili kama malecturer lkn kwa manesi hali ikawa hivyo kama walimu kwan walikuwa wa watumishi okoa jahazi wasio na weledi wa karne
Kwan ukiwapumuisha mwaka wakirudi hawjui kuchoma sindano tena wala kanuni ya paithogras kwa mwalimu
Nchi haikuwekeza kwenye elimu za hawa watu na ndio maana hawakujiamin hawajiamin lkn sasa hawa wenye taaluma hawagishi hawaogopi wanamaendeleo hawavai viatu vimepinda licha ya mshahara
Hivyo taaluma ya ualimu na unesi ukabaki wito mpaka leo n wito na sio kazi mshahara huo n posho tu
Naendelea
 
Mliowaponda walimu katika Uzi huu wote mabwege na marofa, Mimi ni Mwl. nimesoma chuo hostel mwaka wa kwanza niliishi room Moja na walimu wenzangu wa3, wote tulikuwa na division one form 6, mwaka wa pili nikaishi na jamaa aliesomea tourism na BBA wote walikuwa na division three form six, mwaka wa tatu tulikuwa wa4 walimu tupu, watatu tuna one na mmoja two, sasa sijui mnazungumzia walimu wa miaka hii ya Distinction na Merit, sijaelewa.
JAMII IMEKARIRISHWA KUWA WALIMU WALIFELI MITIHANI.NI DHANA POTOFU. WANAOFIKIRI HIVYO HAWAJITAMBUI!!
 
Kwanza nipende kuwapongeza walimu wenzangu mmekuwa na lugha nzuri hasa kuwajibu wale wanaokuja na kejeli...pili tunasalitiwa na walimu wenzetu waliopewa madaraka..mfano ukienda halmashauri wale asilimia kubwa ni walimu lakini ona wanavyotunyanyasa,ona wakuu wa shule jamanii tabu tupu utadhani wanapata ma bilioni ya pesa...dah
wengine wana dhiki kuliko hao walimu wa madarasani mf. ni vigumu kwao kufanya biashara ndogo ndogo kuhofia kugaragaza hadhi yao but wale wa madarasani wanafanya.
 
tena nasema mimi ni mwalimu wala sikufeli anayesema walimu wote wamefeli hayupo sahihi..ILA NASEMA HAKUNA YEYOTE KATIKA WATU ATAKAYE NI SUMBUA AWE ANACHEO AU LAAH..NAJIAMINI NA KUJIKUBALI TENA SIKUBAHATISHA...KWANGU WAJIPANGE SAAANA...KARIBUNI KILINDI
Mimi huwa sielewi mtu mwenye fani yake akiambiwa alifeli .Kufeli maana yake nini?Engineer alifeli kufanya kozi nyingine akafaulu kuwa engineer aidha mwl alifeli kufanya ikozi nyingine akafaulu kuwa mwalimu.WALIOFELI HAWAJUFANYA KOZI YOYOTE.
 
TTU is not a professional board but it is teachers' butter board just for a few ones....
 
we we ulipata darajaa ngap??? hebu tuanzie halo acha longolongo
Ww inaonekana ulifaulu sana eee, labda tuweke matokeo yako na cc ili tujue upo sahihi ama nn, frankly speaking mie ni mwalimu but ni mwalim wa kufaulu vizuri o level Nina dv two,advance one .sasa utaropokaje eeee walimu ni watu waliofeli? Acha dharau
 
Mtoa mada kwa wadhifa nilionao ningebahatika kukutana na wewe lazima ningekucharaza viboko, yaani unajitoa ufahamu kwamba ualimu ni fani ya waliofeli na watu wenye kujaa hofu, watu wenye div 3 na 4. Kwakweli ww ni mtu wa ajabu sana. Tena unawachongea viongozi wa serikali tukufu (afisa elimu) ole wako ningekujua lazima ningekufukuza kazi au kukuamishia Fumagila ukaliwe na fisi.
 
Nakubaliana na utafiti wako kwa asilimia 45 lakini napingana nawewe kwa asilimia 40 hasa pale unapo kifananisha CWT na chama cha madreva maana were mwenyewe unatamani kuwa dreva kuliko fani yako ya ualimu.
Chama cha walimu ni trade union ambayo lengo kuu nikumtetea mwalimu nakudai haki ya mwalimu kutoka kwa mwajiri kwa vile tunaamini umoja ni nguvu.Angalia ni jinsi gani unavyoshirikiana na mwakilishi wa CWT mahala pako pa kazi.CWT pamoja na changamoto zake iko imara kuliko chama kingine cha wafanyakazi Tanzania.
malengo ya CWT yapo kwenye maandishi tu na si kiutekelezaji. UIMARA unaozungumza wewe ni upi? uimara wa kutetea maslahi ya walimu au uimara wa kuwakata walimu makato kila mwezi tena wengine bila hata kujiunga?
 
Back
Top Bottom