mwanaume asiye chepuka anamapungufu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Tuwape hakika ukunaji ili wawe na siku njema
Wajisikie wanawake wa ukweli......wafikie navilele kisawasawa
mwanaume asiye chepuka anamapungufu[emoji125] [emoji125] [emoji125]
wanawake wanaotoka nje ya ndoa ni wachache kuliko wanaume wanaotoka kwenye ndoa.
Wanaume waliopo kwenye ndoa wanachepuka na wanawake ambao hawapo kwenye ndoa ,kwani ni wengi sana hawapo kwenye ndoa.
Tukizingatia wanawake ni Mara 4 ya wanaume Duniani
Ww ndo umeona hivyo lakin ujue kwamba na ww kwa nanamke haupo peke yako yaan ukweli ndivyo ulivyo
Hajawahi tokea mke mmoja kuoa kisheria waume
Wala mwanamke haoi ila anaolewa
Mwanaume anaowa mmoja au zaidi
Mwanamme anaolewa na mume mmoja tu basii
Waonjeshe bana
kupitia hiyo locally unayoisema.Hiyo tafitu yako ya kilocaly sijui umeitowa wap na wakati hapahapa tanzania unakuta ke anamahusiano zaid ya me wa tatu alafu unasema eti ke wapo mara nne ya me wacha uongo ww
Ni kweli unacho kiongea lakin kuolewa kwa mwanamke hakumzuwii kuwa na michepuko kumbuka
Waonjeshe bana
76% still loading ..............
Endapo mume ni wa show ya dk moja....mama bado namiwasho kibao fimbo imelala kama mkanda wa salawili
Nihaki kwake kutafuta bakora ya mkwaju mubashara. Afike japo kibo nakuondoa miwasho na mateso ya unyevunyevu.
Mhhhh una mambo kaka
Labda km mgonjwa, ila suala la pesa wengne hawahitaj hata pesa, wanataka hogo tuuVery true, kwanza kwa mwanaume kuwa na mwanamke mmoja tuu lazima kuna tatizo pahala, either ni mgonjwa ama huna pesa.
Usiendelee kushangaa, waulize wanapata nn mkuuThis is the best comment in this thread. By the way.... Huwa namshangaa sana mwanamke anayekubali kuwa "Mchepuko"... Kwa mwanamume aliyetoka kwa mkewe asubuhi.... Khaaaa!!!!
Wapi umeona mbuzi jike anamilikiwa na beberu mmoja au kuku jike na jogoo mmoja? Ukijifananisha na mnyama basi we mwenyewe na nguvu zako za soda ungekuwa unavizia mabaunsa wakizubaa ndo ugonge huyo mkeo maana hakuna mnyama jike mwenye maamuzi katika suala la kupandiwa yeyote twende tu.ndo ujue katika kujifananisha na wanyama basi wanawake wangekuwa na michepuko zaidi ya wanaumeSimba dume mmoja anamiliki dazani ya warembo
Swala dume mmoja anamiliki majike zaidi ya mia
Beberu mmoja wa mbuzi anamiliki boma lote
Na binadamu wanaume niwanyama tu....hisia za kuchomachoma zipo sawasawia kama swala au mbuzi dume.
Relux mamii