hazard Don
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 1,229
- 1,037
Mwanamke kama anasuguliwa vizuri hachomoki,Ww ndo umeona hivyo lakin ujue kwamba na ww kwa nanamke haupo peke yako yaan ukweli ndivyo ulivyo
Muhimu full dozi
Mwanamke kama anasuguliwa vizuri hachomoki,Ww ndo umeona hivyo lakin ujue kwamba na ww kwa nanamke haupo peke yako yaan ukweli ndivyo ulivyo
Usiendelee kushangaa, waulize wanapata nini mkuu
Na
Wapi umeona mbuzi jike anamilikiwa na beberu mmoja au kuku jike na jogoo mmoja? Ukijifananisha na mnyama basi we mwenyewe na nguvu zako za soda ungekuwa unavizia mabaunsa wakizubaa ndo ugonge huyo mkeo maana hakuna mnyama jike mwenye maamuzi katika suala la kupandiwa yeyote twende tu.ndo ujue katika kujifananisha na wanyama basi wanawake wangekuwa na michepuko zaidi ya wanaume
Kutochepuka ndo illusion, maana mwanaume anapambana na nature, anawatamani wanaopiga mashine nje ila anajibana...so this will be pure hallucination!Mambo ya muda mfupi tuu.... Just Illusions...!!!
Kazana kazana kazana kabisa kuchepuka. Endelea Endelea Endelea na Usiache kabisa kuchepuka. As you wish... Utavuna unachokipanda pia.Kutochepuka ndo illusion, maana mwanaume anapambana na nature, anawatamani wanaopiga mashine nje ila anajibana...so this will be pure hallucination!
wewe sakayo wewe,,,nikumbuke nini Mimi,,,nachotaka by thn ni Raha tuuNi kukosa heshima tuu, hakuna sababu yoyote ya kumfanya mwanaume au mwanamke achepuke!!
Kabla hujafungua zipu yako kumbuka ulikotoka na mkeo.
Wewe wakuhurumiwa maana hata somo la elimu ya viumbe limekupitia kando
Viumbe wamegawanywa kwenye kingdoms
Kama fungie Kingdom
Plantae kingdom
Salmonella Kingdom
Animalia kingdom nk
Binadam na wanyama wengine wamejumuishwa kwenye Animalia (animals Kingdom )
Wanatabia zao
Kuzaa...reproduction (mjadala wetu upo hapa)
Kutembea. ..locomotion
Kutoa uchafu ...excretion
Kunyonyesha..
Kupumua...respiration
Nk
Kwahiyo binadamu nimnyama kwa sayansi ya viumbe hai yaani Biology
Kama hujijuwi nenda shule utaelewa
Ndizi ni tamu ila baada ya kumenywa!! K/Moto ni mtamu sana ila Sasa......Sijui kama ni kweli ila muwe mnachukua warembo jamani khaaa...!!!
Mana kuna wakati ukijua kuwa msweet wako anachepuka na ukabahatika kukiona kimchep khaaa unaishia kumuonea huruma mume na mchepuko hahahaaa.....
Hasira zote zinaisha mtu unabaki kucheka tuu hahaa..
Matumizi yanapoongezeka na akili inaongezeka ya kuzitafutaMkuu hizo ni myths tu kama nyingine. Kuchepuka hakuongezi self esteem ila kunaongeza gharama tu. Waulize wachepukaji wazuri watakusimulia, invoice zinatoka kila kona, nyumba kubwa, mchepuko 1, 2, 3, etc weka mbali na watoto hiyo kitu.
Isee ume ongea point upo xawa iseeNi kukosa heshima tuu, hakuna sababu yoyote ya kumfanya mwanaume au mwanamke achepuke!!
Kabla hujafungua zipu yako kumbuka ulikotoka na mkeo.
Sawawewe sakayo wewe,,,nikumbuke nini Mimi,,,nachotaka by thn ni Raha tuu
Sawa sakayo nmekwelewaSawa
Lakini kumbuka kuna kubeba na mamikosi huko umpelekee mwenzi wako