ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,352
- 4,618
Habari wana jamvi,
Kwa mujibu wa tafiti binafsi, kuna uhusiano mkubwa kati ya self esteem{(kujiamini kwa mwanaume) na kuchepuka.
Katika mahojiano naufuatiliaji uliohusu tabia za wanaume wanaochepuka na wasiochepuka. Inaonesha kuwa wanaume wanochepuka (isipokuwa wale wanaochepuka kwa sababu ya matatizo katika ndoa mfano, uchafu wa mwanamke, kiburi, kunyimwa unyumba, dharau na kukosa ufundi kitandani) huwa kiwango chao cha kujiamini na kujituma huongezeka.
Kwa mujibu wa utafiti huu wanaume wote hutamani na huweza kuchepuka na kwamba kila mwanaume huchepuka angalau mara kadhaa katika kipindi cha maisha yake. Imeonekana pia kuwa tabia hii ya kuchepuka ni silika ya kiume na kwamba mwanaume asipokuwa na silika hii huwa anakuwa na kasoro nyingine za kitabia.
Katika utafiti huo imegundulika pia kuwa, pale inapotokea mwanaume kutokuchepuka yaani seasonal faithfulness ambayo yaweza hata kuchukua miaka kadhaa basi mwanaume huonyesha tabia ambazo huwa ni kero sana kwa mwanamke kiasi kwamba huweza kumfanya mke wake kuanza tabia ya kuchepuka kutafuta wanaume wachepukaji ambao huonyeshi hadhi ya kiume zaidi kuliko wale watulivu
Imeonesha pia kuwa wanawake wengi huamini kuwa waume wao huchepuka hali ambayo huwafanya wazidi kupata msisimko na kwamba pale wanapoanza kupoteza msisimko huo basi huanza kuwadharau wanaume wao kwa sababu tu hawachapi nje.
Utafiti hupingwa kwa utafiti. Mapovu ruhusa nina nguo chafu nyingi sana
Kwa mujibu wa tafiti binafsi, kuna uhusiano mkubwa kati ya self esteem{(kujiamini kwa mwanaume) na kuchepuka.
Katika mahojiano naufuatiliaji uliohusu tabia za wanaume wanaochepuka na wasiochepuka. Inaonesha kuwa wanaume wanochepuka (isipokuwa wale wanaochepuka kwa sababu ya matatizo katika ndoa mfano, uchafu wa mwanamke, kiburi, kunyimwa unyumba, dharau na kukosa ufundi kitandani) huwa kiwango chao cha kujiamini na kujituma huongezeka.
Kwa mujibu wa utafiti huu wanaume wote hutamani na huweza kuchepuka na kwamba kila mwanaume huchepuka angalau mara kadhaa katika kipindi cha maisha yake. Imeonekana pia kuwa tabia hii ya kuchepuka ni silika ya kiume na kwamba mwanaume asipokuwa na silika hii huwa anakuwa na kasoro nyingine za kitabia.
Katika utafiti huo imegundulika pia kuwa, pale inapotokea mwanaume kutokuchepuka yaani seasonal faithfulness ambayo yaweza hata kuchukua miaka kadhaa basi mwanaume huonyesha tabia ambazo huwa ni kero sana kwa mwanamke kiasi kwamba huweza kumfanya mke wake kuanza tabia ya kuchepuka kutafuta wanaume wachepukaji ambao huonyeshi hadhi ya kiume zaidi kuliko wale watulivu
Imeonesha pia kuwa wanawake wengi huamini kuwa waume wao huchepuka hali ambayo huwafanya wazidi kupata msisimko na kwamba pale wanapoanza kupoteza msisimko huo basi huanza kuwadharau wanaume wao kwa sababu tu hawachapi nje.
Utafiti hupingwa kwa utafiti. Mapovu ruhusa nina nguo chafu nyingi sana