Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Nature wa historia haijasema popote hiki unachokisema

Mambo yote ya kihistoria yaliyofanywa nanwanaume ndo yaliyo andikwa sio kama wanawake hawakufanya walifanya sana sema sababu ya mfume dume ulio kuwepo toka mwanza vya me ndo vilivyo onekana
 
Mambo yote ya kihistoria yaliyofanywa nanwanaume ndo yaliyo andikwa sio kama wanawake hawakufanya walifanya sana sema sababu ya mfume dume ulio kuwepo toka mwanza vya me ndo vilivyo onekana

Hajawahi tokea mke mmoja kuoa kisheria waume

Wala mwanamke haoi ila anaolewa

Mwanaume anaowa mmoja au zaidi


Mwanamme anaolewa na mume mmoja tu basii
 
Yaani tangu zamani kabla ya ibrahimu baba Wa imani hajazaliwa mpaka babu/baba yako wanaume wamekuwa na wanawake zaid ya mmoja eti leo ndo maajabu,kushangaa hili ni kituko kikuu!!!

Ss hatushangai sema tu na nyinyi mnashindwa kuelewa kuwa kama me anamahusiano na ke zaid ya mmoja ina maana na ke nae anamahusiano na me zaid ya mmoja kwa nn nasema hivyo sababu kama ww ni mme na una uke ndan na ukamuona mwanamke mwingine mzur ukamtaman na kutembea nae kumbuka hapohapo pia kuna mwanaume aliye muona mke wako ni mzur na akamtaman na kulala nae so ndo maana nasema vice versa is true so automatically kama mwanaume anawanawake zaid ya mmoja naomba utambue kabisa kuwa na hao wanawake wanazaid ya mwaname mmoja ni ngumu kukubali lakin ndivyo ilivyo sema tu kwa mfume mlio kuwepo nao sasa mnataka kuhalalisha kwa upande wenu lakin in reality ni kila mtu anakuwa na mahusiano zaid sio me wala ke wew angali kwenye jamii inayokuzunguka nadhan utanielewa namaanisha nn
 
to men all women are the same, utakuta janamke bayaaa lakini lina mashamsham kitandani balaa, unakuta pia lina kitu mnato,mnabaki kushangaa tu!

Mbona hata men are differ utakuta kuna vibamia kuna mashine na mashine nazo zimetofautiana utakuta kuna nene kuna nyembamba na kadhalika
 
Sio nature yanwanaume sema nature ya wanaume wa kiafrika coz asilimia kubwa ndivyo mlivyo japo sio wote pia

Sasa hata swala, tembo, simba mbuzi na nk mbona wana tabia hizohizo za kumiliki wanawake wengi?

Zinapigwa ndondi mpaka mmoja anakufa alafu simba dume anabakia akimiliki majike zaidi ya sita
 
Simba dume mmoja anamiliki dazani ya warembo

Swala dume mmoja anamiliki majike zaidi ya mia

Beberu mmoja wa mbuzi anamiliki boma lote

Na binadamu wanaume niwanyama tu....hisia za kuchomachoma zipo sawasawia kama swala au mbuzi dume.


Relux mamii
Jogoo anamiliki tetea 10
 
Ni kukosa heshima tuu, hakuna sababu yoyote ya kumfanya mwanaume au mwanamke achepuke!!
Kabla hujafungua zipu yako kumbuka ulikotoka na mkeo.
hakuna sababu yoyote! duh! hata kuninyima unyumba sio sababu ya kuchepuka!.. unastahili kbs kupimwa mkojo.
 
Kinacho nifurahisha ni kwamba si wanaume tu wanachepuka hata wanawake tunachepuka sana tu mbona ila kiwango cha wanaume hakija wafikia wanawake kwa kweli
wanawake wanaotoka nje ya ndoa ni wachache kuliko wanaume wanaotoka kwenye ndoa.
Wanaume waliopo kwenye ndoa wanachepuka na wanawake ambao hawapo kwenye ndoa ,kwani ni wengi sana hawapo kwenye ndoa.
Tukizingatia wanawake ni Mara 4 ya wanaume Duniani
 
Ndoivo,, make make Kuna wengine wame/ wapenzi wao hawana uwezo wa kufikisha kunako kilele.. Wacha nao waonje utamu




Cc Smart911

Wewe wasema ukweli

Msema kweli mpenzi wa mungu

Utamu na raha ya mechi kila mmoja apate jamani
wanawake wanaotoka nje ya ndoa ni wachache kuliko wanaume wanaotoka kwenye ndoa.
Wanaume waliopo kwenye ndoa wanachepuka na wanawake ambao hawapo kwenye ndoa ,kwani ni wengi sana hawapo kwenye ndoa.
Tukizingatia wanawake ni Mara 4 ya wanaume Duniani

Nawanawake wote wahahitaji huduma ya ukunaji mubashara maana nihitajio la mwili kibiologia

Sasa lazima wate huduma kwa madume lijali yanayochepuka.
 
Ukimaliza kuchepuka inabidi uwahi kuomba msamaha ili usamehewe mapemaaaaa

Daaa hapo siwezi kujichongea

Ukirudi home unapiga mechi zaidi ya kawaida

Unahakikisha wife hawezi kuhisi chochote....mpini wa nguvu mpaka akilala ataamka asbh

Akifaham ndoa ipo mashakani.....hawapendi kushare kabisa.
 
Wewe wasema ukweli

Msema kweli mpenzi wa mungu

Utamu na raha ya mechi kila mmoja apate jamani


Nawanawake wote wahahitaji huduma ya ukunaji mubashara maana nihitajio la mwili kibiologia

Sasa lazima wate huduma kwa madume lijali yanayochepuka.
Tukisema 4 ruksa utaskia ni tamaa.
Sasa hao wanaobaki watamaliza VIP hisia zao? Ndo maana imefika hatua MTU unashika mkono unapeleka tu.
Kesho unasema Malaya,mhuni sasa unataka anywe mafuta ya taa akipata feelings.
Mwanaume 1 akioa 4=0
Mwanaume 1 akioa 1 =3
Hao 3 wanabaki wapi
Tuwapeleke UTAWA wawe masister make mtaani watasumbua sana.
 
Back
Top Bottom