Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Mkuu hizo ni myths tu kama nyingine. Kuchepuka hakuongezi self esteem ila kunaongeza gharama tu. Waulize wachepukaji wazuri watakusimulia, invoice zinatoka kila kona, nyumba kubwa, mchepuko 1, 2, 3, etc weka mbali na watoto hiyo kitu.
Na mwanaume mwenye akili timamu lazima uwe na majukumu ya kuchangamsha ubongo,sio unakakaa kizembe,
Piga gemu za ugenini uchangamshe akili
 
Sijui kama ni kweli ila muwe mnachukua warembo jamani khaaa...!!!
Mana kuna wakati ukijua kuwa msweet wako anachepuka na ukabahatika kukiona kimchep khaaa unaishia kumuonea huruma mume na mchepuko hahahaaa.....
Hasira zote zinaisha mtu unabaki kucheka tuu hahaa..
Wewe ni mrembo toka nje mpaka ndani??? Uzuri wa mtu/kitu upo machoni pa muonaji..!

Kwa tajiri cha nini masikini nitakipata lini???
 
Ni kukosa heshima tuu, hakuna sababu yoyote ya kumfanya mwanaume au mwanamke achepuke!!
Kabla hujafungua zipu yako kumbuka ulikotoka na mkeo.
Afu we dada huwa nakutamani sana lkn Basi tu
 
Sio mimi ni nature Bi mkubwa

Ulijali wa mwanamme nikiwango cha wanawake anaoweza kuwashibisha pasi kuyumba

Wafalme Daud, Suleiman....nk

Babu wa babu zetu nao daa jamani
Hakuna nature hapo kakangu, zaidi ni kupeleka mikosi nyumbani tuu!!
Kuanzia mmeanza chepuka mmepata faida zipi?! Zaidi ya kukosa amani na kuishi kwa wasiwasi!!
Kama ni nature kwa nini huwa mnafanya siri?!
Huyo unayemfungulia zipu hastahili kuona hogo lako, ficha!! Anza kuheshimu hogo lako kakangu ndo utaweza mheshimu mkeo! Samahani ila ndo ukweli
 
Hakuna nature hapo kakangu, zaidi ni kupeleka mikosi nyumbani tuu!!
Kuanzia mmeanza chepuka mmepata faida zipi?! Zaidi ya kukosa amani na kuishi kwa wasiwasi!!
Kama ni nature kwa nini huwa mnafanya siri?!
Huyo unayemfungulia zipu hastahili kuona hogo lako, ficha!! Anza kuheshimu hogo lako kakangu ndo utaweza mheshimu mkeo! Samahani ila ndo ukweli

Kizuri kula na nduguyo dada

Chips yai tatizo,

Wachache wenyeuwezo wahudumie nawengine
 
[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]


Hakuna nature hapo kakangu, zaidi ni kupeleka mikosi nyumbani tuu!!
Kuanzia mmeanza chepuka mmepata faida zipi?! Zaidi ya kukosa amani na kuishi kwa wasiwasi!!
Kama ni nature kwa nini huwa mnafanya siri?!
Huyo unayemfungulia zipu hastahili kuona hogo lako, ficha!! Anza kuheshimu hogo lako kakangu ndo utaweza mheshimu mkeo! Samahani ila ndo ukweli
 
Back
Top Bottom