Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Utafiti: Kuchepuka kunaongeza self esteem ya mwanaume

Sio mimi ni nature Bi mkubwa

Ulijali wa mwanamme nikiwango cha wanawake anaoweza kuwashibisha pasi kuyumba

Wafalme Daud, Suleiman....nk

Babu wa babu zetu nao daa jamani

Kinacho nifurahisha ni kwamba si wanaume tu wanachepuka hata wanawake tunachepuka sana tu mbona ila kiwango cha wanaume hakija wafikia wanawake kwa kweli
 
Ila kuchepuka nako ni kipaji.... Kuna wengine ukitaka kichepuka unahisi kama WiFE anakuona vile.....
 
Sijui kama ni kweli ila muwe mnachukua warembo jamani khaaa...!!!
Mana kuna wakati ukijua kuwa msweet wako anachepuka na ukabahatika kukiona kimchep khaaa unaishia kumuonea huruma mume na mchepuko hahahaaa.....
Hasira zote zinaisha mtu unabaki kucheka tuu hahaa..
ukweli ulichosema
 
Sio mimi ni nature Bi mkubwa

Ulijali wa mwanamme nikiwango cha wanawake anaoweza kuwashibisha pasi kuyumba

Wafalme Daud, Suleiman....nk

Babu wa babu zetu nao daa jamani

Mme akichepuka na ww unachepuka coz unatongozwa na wanaume kama yeye so akishindwa kukuheshimu haina haja ya ww kumheshimu na ww full kuchepuka
 
Sijui kama ni kweli ila muwe mnachukua warembo jamani khaaa...!!!
Mana kuna wakati ukijua kuwa msweet wako anachepuka na ukabahatika kukiona kimchep khaaa unaishia kumuonea huruma mume na mchepuko hahahaaa.....
Hasira zote zinaisha mtu unabaki kucheka tuu hahaa..
to men all women are the same, utakuta janamke bayaaa lakini lina mashamsham kitandani balaa, unakuta pia lina kitu mnato,mnabaki kushangaa tu!
 
Ni kukosa heshima tuu, hakuna sababu yoyote ya kumfanya mwanaume au mwanamke achepuke!! Kabla hujafungua zipu yako kumbuka ulikotoka na mkeo.

This is the best comment in this thread. By the way.... Huwa namshangaa sana mwanamke anayekubali kuwa "Mchepuko"... Kwa mwanamume aliyetoka kwa mkewe asubuhi.... Khaaaa!!!!
 
According to mother nature" Female mammals will like their male counterparts more if they see them with anaother female. Therefore kuchepuka is natural thing. Kutochepuka is so unnatural.
 
Sio mimi ni nature Bi mkubwa

Ulijali wa mwanamme nikiwango cha wanawake anaoweza kuwashibisha pasi kuyumba

Wafalme Daud, Suleiman....nk

Babu wa babu zetu nao daa jamani
Yaani tangu zamani kabla ya ibrahimu baba Wa imani hajazaliwa mpaka babu/baba yako wanaume wamekuwa na wanawake zaid ya mmoja eti leo ndo maajabu,kushangaa hili ni kituko kikuu!!!
 
Back
Top Bottom