Acha kutuzeesha mkuu, uzee unaanzia miaka 60. 36 hadi 45 ni utu uzima, 46 hadi 59 ni makamo, ujana ni 35 kushuka hadi 18.uzee ni neno tu ila kiuhalisia uzee unaanza 40 yrs na huu ndo ukweli ujana unaisha 35 hata kwenye mpira mwisho miaka 35 hadi 40.
Hahaha kwahyo yupo nje ya utaratibu au kadri miaka inavyo zidi kwenda na umri wa uzee unapungua?Kwasababu wengi tunakufa kabla ya kuufikia uzee kwahyo tunawahi kabla hatujafa
Sawa kwa mawazo yako na hyo umetaja kisheriaAcha kutuzeesha mkuu, uzee unaanzia miaka 60. 36 hadi 45 ni utu uzima, 46 hadi 59 ni makamo, ujana ni 35 kushuka hadi 18.
Nasema tena usituzeeshe!
Kwanin wanawake wengi hawapendi kuitwa bibiMtoto wakike akiamua uitwe babu unaitwa tuu hamna umri
Bongo tunaamini kila mzee ana busara na kusahau kua hata wapumbavu huzeekaSio kila mzee ana busara!
Kwahyo uzee inatokana na mahali unapokua au. ..sijaelewa hapoKama upo na pesa, hata kama una umri wa kutosha shule ya chekechea lazima walimu watakuita Mzee
It's very simple mathematics chief, ebu miliki pesa kisha usikie watu watakuitaje mjoni...Kwahyo uzee inatokana na mahali unapokua au. ..sijaelewa hapo
Uzee unaanzia miaka 40Acha kutuzeesha mkuu, uzee unaanzia miaka 60. 36 hadi 45 ni utu uzima, 46 hadi 59 ni makamo, ujana ni 35 kushuka hadi 18.
Nasema tena usituzeeshe!
Wataniita mzee babaIt's very simple mathematics chief, ebu miliki pesa kisha usikie watu watakuitaje mjoni...
Hatukatai mkuu Ila tunataka data ndo tuamini,,tupe mifanoUzee unaanzia miaka 40
Data zinaanzia kwenye Mpira wa miguuHatukatai mkuu Ila tunataka data ndo tuamini,,tupe mifano
Sio kiserikal nying dunianiData zinaanzia kwenye Mpira wa miguu