Kuna vichaa wengine hawaishiwi ukichaa na ndio maana kila siku wanaokota makopo halafu wanapomuona mtu mwenye akili wao wanahisi huyo ndie kichaa.
Hapa mtoa mada kaleta mjumuisho wa utafiti wake..kulikua hakuna sababu ya yeye kuorodhesha team alioku akifanyanayokazi au dakika alizokua akitumia kwa kila duka..Thats true boyNJIA YA MWONGO NI FUPI................HUWEZI KUTEMBELEA MADUKA HAYO YOTE,PROOF NI HII HAPA CHINI:
ikiwa kila duka moja utachukua dakika tatu(3 x 489,125=1,467,375 minutes)
-Ikiwa saa moja ina dakika 60,siku moja yenye masaa 24 ina dakika=60x1x24=1140 minutes.
-ikiwa mwaka una jumla ya siku 365,ambapo siku moja ina jumla ya dakika 1140,kwa hiyo jumla ya dakika katika mwaka ni 1140x365=525600 minutes.
HAPO INA MAANA UMETOKA DUKA MOJA NA KUINGIA JINGINE HUNA MCHANA HUNA USIKU NA BADO UNADAIWA DAKIKA 1,467,375-525600=941,775(ALMOST MWAKA MMOJA NA MIEZI KUMI NA MOJA).
ANGALIZO:KAMA HUNA KITU CHA KUPOST COMMENT TU,HAITAPUNGUZA UMAARUFU WAKO.
kwanza hata mleta Mada hana uhakika na Dodoso zakeKwa taifa la Tanzania kuleta mada kama hii pia ni kuchochea udini. Hili linathibitishwa na hisia za uchangiaji za pande kuu mbili zinazosigishana
Bunge la Katiba Uwiano wa kijinsia wanaume 101 wanawake 100
Wanawake NGO Wajumbe 13 Wakristo 12 Muislam 1
Vyama Vya Siasa Wajumbe 28
Wakristo 18 Waislam 10
Tasisi za Elimu Wajumbe 13
Wakristo 12 Waislam 1
Walemavu Wajumbe 13
Wakrsito 10 Waislam 3
Vyama Vya Wafanyakazi Wajumbe 15
Wakisto 9 Waislam 5
Wafugaji Wajumbe 17
Wakristo 16 Waislam 1
Wavuvi Wajumbe 17
Wakristo 15 Waislam 2
Wakulima Wajumbe 13
Wakristo 8 Waislam 5
Malengo Yanayofanana Wajumbe 14
Wakristo 9 Waislam 5
Tasisi za Dini Wajumbe 13
Wakristo 8 Waislam 5
Hii ndiyo haki inayotambuliwa na Kanisa.
Huu ndiyo Mfumo Kristo unaolalamikiwa na Waislam Share
Hao wote wamechaguliwa na maulamaa wenzenu Alhaji Kikwete na Alhaji Shein, Je linalaumiwaje kanisa? Huo ndio mfumo kristu?
Hapa mtoa mada kaleta mjumuisho wa utafiti wake..kulikua hakuna sababu ya yeye kuorodhesha team alioku akifanyanayokazi au dakika alizokua akitumia kwa kila duka..Thats true boy
nakushukuru kwa kua mzoefu kwenye masuala haya ya research kwakuwa umeweza kumjibia swali mtoa mada,nina mwasali kidogo hapa chini:Hapa mtoa mada kaleta mjumuisho wa utafiti wake..kulikua hakuna sababu ya yeye kuorodhesha team alioku akifanyanayokazi au dakika alizokua akitumia kwa kila duka..Thats true boy
KWA UTAFITI WAKO INAONEKANA ASILIMIA KUBWA YA WATANZANIA NI WAISLAMU,, YAAANI ASILIMIA ZAIDI YA 60%... ili utafiti wako uweze kuaminika ni kazi saaana,, MIMI NI muislamu, na 80% ya sehemu nilizowahi kufanya kazi waislamu tunakuwa hatuzidi 3.... 90% ya shule nilizosoma nikianzia shule ya msingi mpaka chuo kikuu darasani huwa hatuzidi 30% ni shule ya msingi tu ndio nakumbuka labda tulifika kama 46% ... Chuo kikuu darasani waislamu tulikuwa wanne...
college waislamu tulikuwa hatuzidi watano,,, secondari pale AZANIA waisilamu tulikuwa kwenye darasa langu hatukuzidi 10....
KAKA hii tafiti sio sahihi kwa 95%,,,,,,, ninachoweza kusema idadi ya waislamu matajiri inaweza kuzidi ila si kwa asilimia kubwa,,, Idadi kubwa ya waislamu ni masikini hasa pwani na tatizo linawezakuwa ni kweli walipuuza elimu au ulikuwa mkakati maalumu wa kuwamaliza kama inavyosemekana hili limeanzia Vatican.. na kusimamiwa na Marekani...
Nakushukuru Baba Muumba wa mbingu na nchi..kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili..Ukawafunulia watoto wachanga! Naamu Baba..maana hivyo ndivyo ilivyokupendeza...data or no data hakuna mfumo Kristu nchi hii! Amen!
We mlambwa Yericko Nyerere Acha bla bla bla We tapeli mlipe bwana Oluoch
Usimuamini muongo hata akisema kweli
Nakushukuru mkuu