Mathalani tu, usiogopehata sitaki kujiuliza swali la hivi...
Ha haa nimemmiss kutobolewa
nyie mnaopimapima kila mwezi shauri zenu ipo siku mtapata mnachokitafuta.....
mi huwa sipimi.
Ha haa nimemmiss kutobolewa
We Mtumishi unapoteza kondoo zako kwa namna hiyo....badala uwasihi wakapime wajue afya zao na kujilinda.
Angaza Posta Na Hospital Za Marie Stopes