Utafanyeje Ukikutwa HIV+

Utafanyeje Ukikutwa HIV+

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
6,182
Reaction score
11,779
Sisi Kama Binadamu Tunapenda Tusipatwe Na Matatizo.Unaweza Ukaishi Na Maradhi Bila Kujijua. Kama Inatokea Umeumwa Na Ukapimwa Ukakutwa Una Virus Vya Ukimwi Ni Kitu Gani Cha Kwanza Utafanya?Je Utakaa Kimya Ama Utawaeleza Wazazi Wako Au Mke Au Mpenzi Wako??
 
Kwenda kupima tu maana yake unautafuta ukiupata unatakiwa uwe mpole
 
Umenikumbusha mara ya kwanza kupima kabla sijapewa majibu niliulizwa haka kaswali,
teh jibu nililolitoaa nadhani yule daktari hatakaa anisahau
 
Umenikumbusha mara ya kwanza kupima kabla sijapewa majibu niliulizwa haka kaswali,
teh jibu nililolitoaa nadhani yule daktari hatakaa anisahau

Ulimwambiaje?
 
nyie mnaopimapima kila mwezi shauri zenu ipo siku mtapata mnachokitafuta.....

mi huwa sipimi.
 
Siku Zote Huwezi Kutoa Jibu Kabla Ya Swali. Hivyo Me Binafsi Hadi Yanikute Ndipo Nitajua Chakufanya. Maana Siku Zote Maamuzi Ya Jambo Lolote Yanategemeana Na Ulivyo Lipokea Jambo Lenyewe.
 
Siku Zote Huwezi Kutoa Jibu Kabla Ya Swali. Hivyo Me Binafsi Hadi Yanikute Ndipo Nitajua Chakufanya. Maana Siku Zote Maamuzi Ya Jambo Lolote Yanategemeana Na Ulivyo Lipokea Jambo Lenyewe.

Probability Hapo Ni 0.5 Man.Mana Eitha Uwe Neg Au Positive.
 
Ngoma ukiona unatembea fresh daily hta ukohoi ujue huna ukipata wala haitaji vipimo
 
Mwenendo wako mkuu ndo utakufanya uende kupima. Kucheck afya ni vema ili ujue jinsi ya kuishi. Na ukikutwa nao sio mwisho wa maisha. Ni vema ukawa muwazi kuwaambia utakuwa huruu kuishi kuliko kuficha utakuwa mtu wa mashaka. Nitakuwa muwazi kwa mupenzi wangu na kwa family yangu.
 
Back
Top Bottom