Utafanyaje ukigundua mumeo anamtongoza mdogo wako?

Utafanyaje ukigundua mumeo anamtongoza mdogo wako?

Hivi huwa mnafanyaje ukigundua mume anatongoza mdogo wako na mdogo wako akakupa ushahidi wa hilo jambo
Kuna weza kuwa na mambo mengi ila
1. Tengeneza mazingira Mumeo asiwe karibu sana na mdogo wako ILA kama dogo ndio house girl na amejaliwa ni changamoto na hiki kizazi chenu kila kitu mnatumia remote (ni yeye anafanya)
2. Pengine uweke utaratibu wa kumtoa mdogo wako hapo kwako na kumleta house girl ILI akihitaji zaidi akatafute huko nje
3. Yaweza kuwa hutekelezi majukumu yao sawasaswa hasa ya kiunyuma; Simba asipo shiba vizuri, na anajua kuwa njama ipo store atavunja mlango
 
Ngoja Wazinzi wa kiume waje kushadadia hili jambo kuwa ni sawa haina shida. Lol
Mumewe anamuiga Yakubu kikobazi, Yakobo (Jacob) kigalatia na Kiyahudi.
Jamaa alioa dada wawili wa baba na mama mmoja. Ilikubalika Hadi mbele za Mungu. Akawabariki na kuunda makabila 12 ya Israel.
 
Mumewe anamuiga Yakubu kikobazi, Yakobo (Jacob) kigalatia na Kiyahudi.
Jamaa alioa dada wawili wa baba na mama mmoja. Ilikubalika Hadi mbele za Mungu. Akawabariki na kuunda makabila 12 ya Israel.
Vipi mwanamke akiolewa na ndugu wawili wa damu??
 
Mwambie dogo akubali. Siku ya kwenda kuzagamua dogo asitokee uende wewe afu umpe makavu laivu hukohuko mtakako kutana.
 
Hivi huwa mnafanyaje ukigundua mume anatongoza mdogo wako na mdogo wako akakupa ushahidi wa hilo jambo
Unatakiwa kuwa wise na muombe Mungu akupe hekma katika kutatua changamoto kama hiyo, sababu unaweza ukajikuta unaharibu ndoa yako ama unagombana na mdogo wako na kufanya uadui kwenye familia yenu
 
Vipi mwanamke akiolewa na ndugu wawili wa damu??
Hiyo hata sayansi ya elimu dunia na asili vinakataa.
Akipata mimba atajulikana baba wa mtoto nani?
Kila mume wake akitaka mtoto mwaka huo atabeba mimba mbili kwa wakati mmoja? Mume mmoja anaweza kuwapa mimba wake zake 5 kwa siku moja bila tatizo.
Ataweza kujaamiana na waume zake wawili kwa siku moja bila kuutesa uke wake? Uke ukabaki na ubora uleule kwa wote?
 
Mdogo wako ni snitch huyo ni wa kufukuza hapo nyumbani haraka sana.

Kama jambo dogo kama hilo amekushirikisha je siku akikukuta umesimama uchochoroni na yule kaka yenu wa baba mdogo asiyemjua si atakuja kukuchoma kwa mumeo?
 
Hiyo hata sayansi ya elimu dunia na asili vinakataa.
Akipata mimba atajulikana baba wa mtoto nani?
Kila mume wake akitaka mtoto mwaka huo atabeba mimba mbili kwa wakati mmoja? Mume mmoja anaweza kuwapa mimba wake zake 5 kwa siku moja bila tatizo.
Ataweza kujaamiana na waume zake wawili kwa siku moja bila kuutesa uke wake? Uke ukabaki na ubora uleule kwa wote?
Unafiki huu.
 
Chagua namna bora ya kuhandle hilo jambo..... kuna namna mdogo wako anavyojiweka/jirahisisha kwa huyo mumeo, sisi wanaume ukiileta au ukikaa kimazoea hatuiachi ! Action ya kwanza muondoe mdogo wako hapo home ..... ! Ukicheza vibaya hii ngoma utagombana na mdogo wako na mume utampoteza !"



Ziada... ongeza usafi binafsi, kujipenda kuanzia uvaaji na caring kwa mumeo
 
Chagua namna bora ya kuhandle hilo jambo..... kuna namna mdogo wako anavyojiweka/jirahisisha kwa huyo mumeo, sisi wanaume ukiileta au ukikaa kimazoea hatuiachi ! Action ya kwanza muondoe mdogo wako hapo home ..... ! Ukicheza vibaya hii ngoma utagombana na mdogo wako na mume utampoteza !"



Ziada... ongeza usafi binafsi, kujipenda kuanzia uvaaji na caring kwa mumeo
Nyie ndio wale mkiwa wadogo mkipewa mifugo mkachunge mnapita nayo..!!

Kwahiyo wewe huwezi kujizuia? Ni zoa zoa?
 
Nyie ndio wale mkiwa wadogo mkipewa mifugo mkachunge mnapita nayo..!!

Kwahiyo wewe huwezi kujizuia? Ni zoa zoa?
Kujizuia kupo na inawezekana, ila mdogo mtu inawezekana kuna vimazoea kaleta mpaka mume wake kaona huyu mbona anaingilika ? Kuna kitu sio bure
 
Kujizuia kupo na inawezekana, ila mdogo mtu inawezekana kuna vimazoea kaleta mpaka mume wake kaona huyu mbona anaingilika ? Kuna kitu sio bure
Wala sio kujirahisisha ni tamaa za wanaume na kutaka kila mwanamke kumuonyesha kendre zake..!!

Mimi niliwahi kusumbuliwa na shemeji yangu nikiwa under age ni vile kaona vichuchu vimechomoza tayari tezi dume lake linamuwasha..!! Nilimzingua na nilimwambia mkewe ambaye ni sis yangu..

Ajabu mkewe alijiliza baadaye akaona kama mmewe anasingiziwa. Nikaondoka kwao akapata mgeni ambaye ni wifi yake binamu yake na mumewe..!!

Shem akapita naye na ujauzito juu, sis anakuja kushtuka mtoto wa wifiye copyright na mumewe 😹😹😹
Nikamwambia hapo huna mume

Na sio binamu mmoja wengi kapita nao hadi watoto wa mama zake wakubwa..!!
 
Mimi nashauri unapoenda ugenini au kwa ndugu yako,kisha ikatokea Mkewe akakutaka kama wewe ni Me au mumewe akakutaka kama wewe ni Ke,

Ni bora kuondoka sehemu hiyo bila kumshtakia mtu yeyote kati yao,unaondoka unawaacha waendelee na maisha yao tu.
 
Back
Top Bottom