Utafanyaje ukigundua mumeo anamtongoza mdogo wako?

Utafanyaje ukigundua mumeo anamtongoza mdogo wako?

Wala sio kujirahisisha ni tamaa za wanaume na kutaka kila mwanamke kumuonyesha kendre zake..!!

Mimi niliwahi kusumbuliwa na shemeji yangu nikiwa under age ni vile kaona vichuchu vimechomoza tayari tezi dume lake linamuwasha..!! Nilimzingua na nilimwambia mkewe ambaye ni sis yangu..

Ajabu mkewe alijiliza baadaye akaona kama mmewe anasingiziwa. Nikaondoka kwao akapata mgeni ambaye ni wifi yake binamu yake na mumewe..!!

Shem akapita naye na ujauzito juu, sis anakuja kushtuka mtoto wa wifiye copyright na mumewe 😹😹😹
Nikamwambia hapo huna mume

Na sio binamu mmoja wengi kapita nao hadi watoto wa mama zake wakubwa..!!
Tatizo la ninyi wanawake 90% hawanaga akili au maamuzi tena ukikuta nitegemezi ndio basi tena hata umchinje shingo nusu yeye atasema navumilia tu🤣
 
Tatizo la ninyi wanawake 90% hawanaga akili au maamuzi tena ukikuta nitegemezi ndio basi tena hata umchinje shingo nusu yeye atasema navumilia tu🤣
Kitu siwezi kuvumilia ni usaliti wa waziwazi huwa sicheleweshi kupiga kibuti..!!

Hao wanaovumilia wamejikatia tamaa au ni mategemezi.
 
Wala sio kujirahisisha ni tamaa za wanaume na kutaka kila mwanamke kumuonyesha kendre zake..!!

Mimi niliwahi kusumbuliwa na shemeji yangu nikiwa under age ni vile kaona vichuchu vimechomoza tayari tezi dume lake linamuwasha..!! Nilimzingua na nilimwambia mkewe ambaye ni sis yangu..

Ajabu mkewe alijiliza baadaye akaona kama mmewe anasingiziwa. Nikaondoka kwao akapata mgeni ambaye ni wifi yake binamu yake na mumewe..!!

Shem akapita naye na ujauzito juu, sis anakuja kushtuka mtoto wa wifiye copyright na mumewe 😹😹😹
Nikamwambia hapo huna mume

Na sio binamu mmoja wengi kapita nao hadi watoto wa mama zake wakubwa..!!
Dah shem wako kiboko.... dada yako aliona kama unamsingizia kipenzi chake ! Ungeingia mkenge ungekuta umetoa copy ya shem ! Aibu kwa ukoo mzima 😊 😃 😀
 
Arudi atoe posa achukue na huyo kwan kuna dhambi gn hapo? Naomba niambiwe je ni dhambi au ni kosa kuoa mtu na mdogo wake?
 
Maadili yameshuka sana siku hizi hasa mavazi kwa mwanaume kuvumilia inakuwa changamoto sana labda ahasiwe asiwe na nguvu za kiume
 
Dah shem wako kiboko.... dada yako aliona kama unamsingizia kipenzi chake ! Ungeingia mkenge ungekuta umetoa copy ya shem ! Aibu kwa ukoo mzima 😊 😃 😀
Aibu gani mtu kuzaa na shemeji yake!
 
Kuna tamaduni ambazo dada akifariki, mdogo wake anakuja kulea watoto wa dada yake.
 
Angalia nzuri ya kuhangaika na hilo.
Ingawa hakuna sababu ya maana mwanaume kufanya hivyo, jaribu kumrudisha mdogo wako nyumbani au la basi muondoke wote mwamba abaki na umalaya wake.

Kuna options nyingi sana hata kama unamnyima unyumba
Kumrudisha mdogo wako nyumbani kutasaidia nini? Kwanza kwani huko nyumbani mumeo hafiki? Pia ikiwa mumeo amefika hadi kuwa na confidence ya kumtongoza ndugu yako, unadhani hatongozi wanawake wengine huko mitaani? Solution ni ndogo tu comfront him kisha toka zako au baki ukijua kuwa ana wanawake wengine nje na kuna possibility kubwa kuwa kuna siku anakuambukiza STD simple!!!!
 
Angalia ktk familia yake, hiyo tabia ipo.
Kairithi kwao.
Mtoe mdogo wako hapo.

Kaa chini umuombe Mungu.
 
Mwanaume wako hakupendi na ana tabia za ovyo.
Mtu hapendwi na bado anagandana na mwanaume kisa ni nini???

Heshima gani mwanaume kumtaka mdogo wa mke wake, sema kwa dunia ya sasa ubinadamu na utu hakuna mtu anakula mama na mwanaye alafu anaona sifa tu.
 
Hivi huwa mnafanyaje ukigundua mume anatongoza mdogo wako na mdogo wako akakupa ushahidi wa hilo jambo
Nimewahi kufanya hii kitu na sababu ilikua ni yeye mwenyewe (dadamtu) issue za ku-sort na yeye ananipa ni-sort na mdogo wake nikasema ngoja nitafune familia nzima maana hapa mwenye macho haambiwi tazama nikatupa ndoana.. dogo katoa boko kaenda kusema kwa dadake
 
Back
Top Bottom