Ndo kidume ni kusugua asaliWala sio kujirahisisha ni tamaa za wanaume na kutaka kila mwanamke kumuonyesha kendre zake..!!
Mimi niliwahi kusumbuliwa na shemeji yangu nikiwa under age ni vile kaona vichuchu vimechomoza tayari tezi dume lake linamuwasha..!! Nilimzingua na nilimwambia mkewe ambaye ni sis yangu..
Ajabu mkewe alijiliza baadaye akaona kama mmewe anasingiziwa. Nikaondoka kwao akapata mgeni ambaye ni wifi yake binamu yake na mumewe..!!
Shem akapita naye na ujauzito juu, sis anakuja kushtuka mtoto wa wifiye copyright na mumewe 😹😹😹
Nikamwambia hapo huna mume
Na sio binamu mmoja wengi kapita nao hadi watoto wa mama zake wakubwa..!!
Mzee wa miongozo naona katika Moja na mbili inaitwa one two😂Weka picha yako na ya mdogo wako kwa faida ya members, Kuna vitu mdogo wako amekuzidi...
Cc: Mahondaw
Hilo janaume halijiheshimu hata kidogo! Inaonesha ni jinsi gani halikupendi!Hivi huwa mnafanyaje ukigundua mume anatongoza mdogo wako na mdogo wako akakupa ushahidi wa hilo jambo
Mkuu Kila mwanaume ana namna yake ya kutatua matatizo ya ndoa yakeNa huyo mdogo wake pia kuna vitu kazidiwa na wanawake wengine,
So,tunarudi kule kule kwenye tatizo lile lile,kwani huyo mkewe yeye haoni wanaume waliomzidi mumewe?
Maisha yahapo hivyo wala matatizo ya ndoa hayatatuliwi kwa njia hizo mkuu.
Wanawake punguzeni roho mbaya. Hata mdogo wako umuonee wivu kweli?Ngoja Wazinzi wa kiume waje kushadadia hili jambo kuwa ni sawa haina shida. Lol
Asije akavunja undugu shauri ya mpumbavu mmoja!Mdogo wako ni snitch huyo ni wa kufukuza hapo nyumbani haraka sana.
Duuh.Weka picha yako na ya mdogo wako kwa faida ya members, Kuna vitu mdogo wako amekuzidi...
Cc: Mahondaw