Utafanyaje kama ungekuwa wewe ndio mwanamke?

Utafanyaje kama ungekuwa wewe ndio mwanamke?

Maadam umeshahamua kuondoka kila la kheri kwani mawazo yako yameshakupa jawabu la nini suluhisho la tatizo lako. UMEHAMUA VYEMA
Hiv umeshahamua ni nini? Au ni muhanga wa 4m 4 2012
 
Hivi mapunga wanajua kumkaza mwanamke akakazika vizuri eeh.. Pole sana bidada, hapo umeingia choo cha kiume cha manispaa! Kimsingi fungasha uchape lapa!
 
tatizo nini bhaaaaaaana,mbona siku hizi ndio habari ya mjini hiyo?inaitwa give and receive eeheee debt n credit
 
Tafadhali tumia mlango kuondoka na usirejee tena,hapo si makazi salama

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Duniani kuna mambo!Khaaaaaaaaaaaa!!!!
 
yaani unajiuliza? Mi nishasepa ckunyingi!
Balaa gani hilo?mungu tuepushe
 
Mazingira km haya nadhani unatakiwa kutumia akili kufikiria na si kutumia moyo wako kufanya right choice, kwa mm as a faithful xstian nadhani wat z b4 u z isolation and destruction yaani simply just isolate him and destroy the bond that bond u, sina maana ya ku destroy km kule kunako fanywa na hawa wanao ng'oa kucha na meno km kibanda alivyofanyiwa no, my focus here z to break up ur relationship wit da ma n
 
Mazingira km haya nadhani unatakiwa kutumia akili kufikiria na si kutumia moyo wako kufanya right choice, kwa mm as a faithful xstian nadhani wat z b4 u z isolation and destruction yaani simply just isolate him and destroy the bond that bond u, sina maana ya ku destroy km kule kunako fanywa na hawa wanao ng'oa kucha na meno km kibanda alivyofanyiwa no, my focus here z to break up ur relationship wit da ma n
 
Back
Top Bottom