Peaky blinders
JF-Expert Member
- May 8, 2023
- 3,889
- 7,100
Umenikumbusha enzi zile za Facebook ndiyo inaanza Anza Miaka hiyo.
Kuna jamaa akamwambia demu wake aliyemtongoza huko fb amtumie picha yake ya mbususu,bibie kwa ushamba badala ya kutuma messenger akaweka profile ili mwamba aione...
Inakuwa aje za aibu, wakati wanadhamiria kujichukua na kuzisambaza?Salaam ndugu zangu,
Katika harakati zetu za maisha tunakutana na tunafanya mambo mengi sana. Kuna baadhi ya matukio tunayoyafanya tunatamani yajulikane na mengine tunatamani yabaki kuwa siri...
Hatari sanaNimecheka sana.
Kuna mmama alikuwa anasoma course ya IT pale Ucc posta. Alikuwa certificate, siku ameingia darasani akakuta pc anayo tumia vijana wa hovyo wameweka screen saver ya mwanamke yuko without any cloth. Badala ya kuzima monitor akaikumbatia watu wasione๐ na vile yuko siti za mbele, akaona aibu sana maana umri mkubwa na yuko na vijana wadogo class.
Umenikumbusha enzi zile za Facebook ndiyo inaanza Anza Miaka hiyo.
Kuna jamaa akamwambia demu wake aliyemtongoza huko fb amtumie picha yake ya mbususu,bibie kwa ushamba badala ya kutuma messenger akaweka profile ili mwamba aione. Baada ya kuweka mbususu profile picha kwa kujiamini akamtext jamaa tayari nimeshakutumia,jamaa akauliza iko wapi mbona siioni!? Dada wa watu akajibu angalia kwenye fb yangu.
Jamaa akakuta likitumbua alilotumiwa limejaa kwenye profile na watu wanatiririka kulaani "sasa ndiyo ujinga gani huu". Akamrudia demu wake "bibie futa haraka hiyo picha umeweka sehemu siyo, watu wanaona"
Wenge la demu badala ya kufuta picha si akalog out kwa kudhani ndiyo hataonekana. Mitandao hi hii tumetoka nayo mbali Sana.
Hii ni case tofauti na kujipost mwenyewe, hata watakaoona watajua ulikua hujijui kama upo live ๐Vipi ikitokea umetegeshewa kamera bila kujua na ukakutana na picha au video zako mtandaoni. Utafanyaje?
Unaripoti kwenye vyombo husikaVipi ikitokea umetegeshewa kamera bila kujua na ukakutana na picha au video zako mtandaoni. Utafanyaje?
Hatari sana.Umenikumbusha enzi zile za Facebook ndiyo inaanza Anza Miaka hiyo.
Kuna jamaa akamwambia demu wake aliyemtongoza huko fb amtumie picha yake ya mbususu,bibie kwa ushamba badala ya kutuma messenger akaweka profile ili mwamba aione. Baada ya kuweka mbususu profile picha kwa kujiamini akamtext jamaa tayari nimeshakutumia,jamaa akauliza iko wapi mbona siioni!? Dada wa watu akajibu angalia kwenye fb yangu.
Jamaa akakuta likitumbua alilotumiwa limejaa kwenye profile na watu wanatiririka kulaani "sasa ndiyo ujinga gani huu". Akamrudia demu wake "bibie futa haraka hiyo picha umeweka sehemu siyo, watu wanaona"
Wenge la demu badala ya kufuta picha si akalog out kwa kudhani ndiyo hataonekana. Mitandao hi hii tumetoka nayo mbali Sana.
Yeah it wasn"t meNi kukataa tu sio mimi
Ni photoshop sio mimi yule.Wakati sura yako inaonekana
Ova
Duh ... uliona kilichomkuta adriana wanjiku huko kenyaNi photoshop sio mimi yule.
Hapana sijui mkuu, lakini nakwambia sio mimi sasa nyie mkikazania ni mimi shauri lenu๐Duh ... uliona kilichomkuta adriana wanjiku huko kenya
Ova
Kwa style hiyo utashindaHapana sijui mkuu, lakini nakwambia sio mimi sasa nyie mkikazania ni mimi shauri lenu
Umemaliza๐๐๐๐๐๐โKama ni mtu wa kufanya mambo ya giza lazima uogope lakini ukiwa katika Kristo Yesu huwezi ogopa huna muda wa kwenda Lodge wala wala kuzini zini