Utafanya nini ukikuta picha, video au jambo lako la aibu limevuja mtandaoni?

Salaam ndugu zangu,

Katika harakati zetu za maisha tunakutana na tunafanya mambo mengi sana. Kuna baadhi ya matukio tunayoyafanya tunatamani yajulikane na mengine tunatamani yabaki kuwa siri...
Inakuwa aje za aibu, wakati wanadhamiria kujichukua na kuzisambaza?
 
Taarifa hizo sio lazima ziwe picha na video, zinaweza kuwa hata matokeo yako ya shuleni, au jambo lolote ambalo wewe ulitamani watu wako wasivijue.
 
Hatari sana
 

 
Vipi ikitokea umetegeshewa kamera bila kujua na ukakutana na picha au video zako mtandaoni. Utafanyaje?
Unaripoti kwenye vyombo husika
- Rejea picha za msaanii wa na yule msanii w....., walilipoti polisi, na wakahakikisha hazipatikani huko telegram na kwenye mitandao mingine ya kijamii, Maisha yao yanaendelea kana kwamba hakujawahitokea hiyo kitu ya kuvuja.
 
Hatari sana.
 
Kama ni mtu wa kufanya mambo ya giza lazima uogope lakini ukiwa katika Kristo Yesu huwezi ogopa huna muda wa kwenda Lodge wala wala kuzini zini
 
Kama ni mtu wa kufanya mambo ya giza lazima uogope lakini ukiwa katika Kristo Yesu huwezi ogopa huna muda wa kwenda Lodge wala wala kuzini zini
Umemaliza๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™โœ…
 
Nakumbuka ilitokea mwaka wa kwamza kwenda mwaka wa pili kuna demu class alizinguana na mshkaji wake yule jamaa alituma video za yule akiwa ana suck di<k na nyingine akiwa anaikalia. Yan kila member aliyekuwepo kwenye group la class alitumiwa ile video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ