Nyetk
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,648
- 1,694
sitaki hata kusikia mabikra wa kiume! nataka ninate na bits we utakuwa unaugugumia tu, nataka mwendo wa farasi na slaps zake, we utakuwa unashangaa tu! si kwa ubaya, ila kapate experince halafu uje utangaze tena! kha! Eiyer shemeji yangu kwa Kaunga hujambo weye! halafu itake radhi dhahabu, halafu mabikra ndio zenu hizo, mara nimekupa cha thamani, mara nilijitunza, khaaaaaaaaaaaaaaaa!
Cacico nimekupendaje ghafla?!
Last edited by a moderator: