Utaenda na nani kati ya Hawa?

Utaenda na nani kati ya Hawa?

Kuna two candidates

Candidate A
Ana elimu ya chuo
Ameajiliwa na serikali
Sio mchangamfu
Shape kawaida
Mfupi na mweusi
Kipato kizuri
Unamkubali 50%

Candidate B
Elimu kidato Cha 4
Mdogo kiumri kuliko candidate A
Anafanya bihashara ndogondogo
Mchangamfu
Mweupe
Mrefu ana shape
Kipato kidogo sana
Unamkubali 90%

Tabia kama umalaya,kupiga mizinga wote ni constant Wana good behaviors.

Utaenda na yupi?
Kamujage nokho!
 
Uende na unayemkubali lakini kama unashindwa kufanya maamuzi kwa jambo kama hili nakushauri hata wewe usiende
 
Kuna two candidates

Candidate A
Ana elimu ya chuo
Ameajiliwa na serikali
Sio mchangamfu
Shape kawaida
Mfupi na mweusi
Kipato kizuri
Unamkubali 50%

Candidate B
Elimu kidato Cha 4
Mdogo kiumri kuliko candidate A
Anafanya bihashara ndogondogo
Mchangamfu
Mweupe
Mrefu ana shape
Kipato kidogo sana
Unamkubali 90%

Tabia kama umalaya,kupiga mizinga wote ni constant Wana good behaviors.

Utaenda na yupi?
Anha ndo ulio wapata mkuu ? Chukua B huyo A ulipo sema sio mchangamfu nmejua kabsa huyo ni MAFIA kimbia
 
Back
Top Bottom