Utachagua nini kama ni wewe?

Jodeo

JF-Expert Member
Mar 10, 2015
1,286
1,326
Habari?

Fikiria unafanya kazi mahali fulani, labda unalipwa chini ya 700K kwa mwezi na huna mkataba na hao waajiri japo una zaidi ya mwaka kazini, kitu ambacho si salama sana kwako, na waajiri wako hawana kabisa mpango wa kuingia contract na wewe.

Halafu familia inakukalisha chini wanakwambia achana na hiyo kazi tafuta biashara ya kufanya, kisha unaandikiwa cheque ya 20M ili ukaanze biashara. Lakini ni lazima kwanza uache hiyo kazi wanayoiita uchwara.

Kama ni wewe mdau wa JF, utachagua nini? Kati ya twenty (20M) za biashara na kuendelea na kazi ya below 700K kwa mwezi bila contract? Na kama unachagua biashara, utachagua biashara gani?

karibuni kwa mawazo na mitizamo.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ANGALIZO 20M NI NYINGI SANA NA NDOGO SANA KULIKO SIAFU KWENYE BIASHARA KUWA MWANGALIFU!
Ukizingatia purchase power ipo ICU kwenye baadhi ya biashara! Usiwaze pesa ikiwa mfukoni chukuwa muda sio chini ya miezi 2 ukiwaza ufanye nini!!
Watu pesa hawana angalia vitu watu wakati wenye mshahara kama unapokea wana weza nunuwa nini!!
Kila lakheri uwoga wako ndio umasikini wako fanya uchaguzi sahihi!
 
Habari?

Fikiria unafanya kazi mahali fulani, labda unalipwa chini ya 700K kwa mwezi na huna mkataba na hao waajiri japo una zaidi ya mwaka kazini, kitu ambacho si salama sana kwako, na waajiri wako hawana kabisa mpango wa kuingia contract na wewe.

Halafu familia inakukalisha chini wanakwambia achana na hiyo kazi tafuta biashara ya kufanya, kisha unaandikiwa cheque ya 20M ili ukaanze biashara. Lakini ni lazima kwanza uache hiyo kazi wanayoiita uchwara.

Kama ni wewe mdau wa JF, utachagua nini? Kati ya twenty (20M) za biashara na kuendelea na kazi ya below 700K kwa mwezi bila contract? Na kama unachagua biashara, utachagua biashara gani?

karibuni kwa mawazo na mitizamo.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni kweli wewe unauliza hilo swali utachagua nini kati ya laki 7 na 20M?
 
Habari?

Fikiria unafanya kazi mahali fulani, labda unalipwa chini ya 700K kwa mwezi na huna mkataba na hao waajiri japo una zaidi ya mwaka kazini, kitu ambacho si salama sana kwako, na waajiri wako hawana kabisa mpango wa kuingia contract na wewe.

Halafu familia inakukalisha chini wanakwambia achana na hiyo kazi tafuta biashara ya kufanya, kisha unaandikiwa cheque ya 20M ili ukaanze biashara. Lakini ni lazima kwanza uache hiyo kazi wanayoiita uchwara.

Kama ni wewe mdau wa JF, utachagua nini? Kati ya twenty (20M) za biashara na kuendelea na kazi ya below 700K kwa mwezi bila contract? Na kama unachagua biashara, utachagua biashara gani?

karibuni kwa mawazo na mitizamo.

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaweza kuona 20m ni kubwa kwa Mara moja, ila ikikosa mpango makini itayeyuka kama maliboro kwenye moto. Mshahara kabla hujapokea tayari umeshaupangilia.😂😂😂
 
Binafsi sijawahi kumiliki hata 5ml, lakini naiona kabisa 20ml ni ndogo mno kuanzisha biashara, hasahasa kwenye awamu hii..
 
Mkuu, mbona chaguo ni rahisi sana. Kwenye ajira unajifungia njia za baraka! Hata ukiwa umeajiriwa na mkataba, mshahara kila mwezi unakuwa ni ile ile. Bossi, akifurahi pengine atakuaongezea bonus ndogo mwisho wa mwaka, lakini hamna ya kutugemea zaidi ya mshahara kila mwezi. Sasa, angalia biashara - kuna siku unaweza kupata faida mara kumi au ishirini! Yaani njia za baraka ziko wazi, na kipato kinabadilika kila siku! Kwanza tumia muda kuchunguza soko na halafu tafuta biashara inayokufaa. Lakini, kumbuka pia, biashara inahitaji nidhamu na subira!
 
Chagua biashara inaenda na unachokipenda sio unapenda biashara ya madini halafu hupendi kusafiri maporini
 
Back
Top Bottom