MS kwa mara nyingine tena, aisee unakera kama harufu ya mavi.Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Mkuu Ghbm usimtukane Mkuu KAUMZA hayo ndio mawazo yake ameshasema kuwa yeye sio Mtabiri wala siyo Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS usifananishe maneno ya mtu na Mavi Ban itakuhusu Mkuu Bhbm Kila Mtu ana haki ya kuzungumza mawazo yake il mradi havunji sheria za Jamii forums.MS kwa mara nyingine tena, aisee unakera kama harufu ya mavi.
Mkuu KAUMZA Utabiri wako ni kama Ndoto za Mchana .Mimi Nilifikiri utasema kuwa CCM mwisho wake utakuwa mwaka 2015 hapo ningekusikiliza lakini umesema kinyume na hivyo . Ni mawazo yako unayoyafikiria watu hufikiria Maendeleo ya nchi wewe unafikiria Kuangamia kwa nchi ahhhh sawa tu.Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Inaonekana hukwenda shule na kama ulienda ulisoma kwa mkopo wakati babaya ya akiwa nifisadi wa kutupwa! hayo ni mawazo mgando kwa mtu yeyote aliyepevuka ktk kizazi hiki cha dot com, watu hatuishi ktk mfumo wafikra za akina chifu MangungoMimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Utabiri mwingine bana, utabiri wako ni sawa na kutabiri kuwa 2012 jua litachomoza magharibi na kuzama mashariki.
Kweli Yaani anamaanisha vita ya mafisadi iiishe, HAWA NDO WAKINAMAKAMBA AKILI HAKUNA KICHWANI KABISAA, CCM PAMBANENI KWA NGUVU ZOOTE NA UFISADI SI KWA KUUUA WATU PUMBAVUUU SENU NTIE.Ndivyo mnavyoidanganya cc ya ccm.about 5yrs back watu walihisi hivyo nadhani umeshuhudia tsunami la cdm.
Labda cdm itafifia lakini sio NGUVU YA UMMA!
Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Mimi si Sheikh YAHYA HUSSEIN au NOSTRADAMUS. Ila ninatabiri kuwa CHADEMA itaishiwa pumzi na kufifia(kama lilivyofifia gazeti la Mwanahalisi) mwaka 2012 na hivyo kuipa nguvu zaidi CCM kupata nguvu zaidi na hivyo kushinda kwa kishindo mwaka 2015.
Tusubiri tuone. Maana waswahili wanasema NGOMA IKIVUMA SANA MWISHOWE HUPASUKA
Dalili za Malaria Sugu huanza polepole:eyeroll1: