MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 2,539
- 6,291
Mh ulikataa kunipa namba ya mganga konki nimloge boss aniogope na anipe heshima zote
Sema tu mambo yakienda tofauti na matarajio yako! Kuna mawili; aidha ujibaraguze na kupotezea, au urudi kwa ID nyingine.Nitajitoa JF mazima
Just mark my wordsSema tu mambo yakienda tofauti na matarajio yako! Kuna mawili; aidha ujibaraguze na kupotezea, au urudi kwa ID nyingine.
Ila kusema eti unapotea mazima jamii forums!! Kwa hilo nakataa. Maana jamii forums ni kama uraibu wa madawa ya kulevya, au kubet! Huwezi ukaachana nayo kwa urahisi tu.
NDOTO NJEMA HIYO KWA NIABA YA WANANCHI NA TAIFA KWA UJUMLAHuo ndio utabiri wangu.
Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.
Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.
Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.
Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.
I put one hundred percent in everything that I have said above👆
Update:
1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza
2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja
3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.
4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.
# my love moves in the direction of my words.
KolofiveKama kucheka imo naomba kwanza ncheke. Hahaha hahaha mnafikiri shirikisho hii
kama atakuwa sub na kuingizwa kipindi cha pili itakuwejeHuo ndio utabiri wangu.
Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.
Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.
Watu mlio karibu na benchi la ufundi la Yanga fanyieni kazi taarifa hii.
Endapo haitakuwa hivi basi nitajitoa jamii forums moja kwa moja na sintopost wala kucomment chochote hapa jf.
I put one hundred percent in everything that I have said above
Update:
1. Mzize akifunga magoli yote mawili kipindi cha pili nitajitoa kwa sababu nimesema Maize atafunga magoli yote mawili kipindi cha kwanza
2. Kama Mzize atafunga goli moja kipindi cha kwanza na mpya kipindi cha pili nitajitoa JF moja moja
3. Kama Yanga watashinda magoli mawili ila ya kafungwa na wachezaji wengine nitajitoa pia.
4. Kama Yanga watafungwa magoli matatu kwa mawili lakini magoli mawili yote ya Yanga yakafungwa na Mzize kipindi cha kwanza still bado nitajitoa JF hata kama half time itamalizika kwa Yanga kuongoza magoli mawili kwa sifuri na yote yawe yamefungwa na Mzize.
# my love moves in the direction of my words.
Mkuu nitabirie na mimi
AahaaaaaaWewe baada ya miaka mitatu utapata lishangazi
Utaenda gest utafia huko😂😂😂
😂😂Aahaaaaaa
Na watu wote wasiseme amina
Umeelewa kwanza swali lake?Nitajitoa JF mazima
Bado utabiri wako haujawa subjective to changes?Yanga watashinda kwa magoli mawili kwa sifuri.
Magoli yote mawili yatafungwa na Walid Mzize na yatafungwa kipindi cha kwanza.