Utabiri wangu kuhusu Mbowe

Mh. Mbowe amekwisha jiwekea nafasi yake katika historia ya siasa. Mwenzangu Dr. Slaa amejivunjia heshima yake. Hata kama UKAWA wapigwe bao la mkono, wananchi wote wanajua nani mkweli na nani pandikiza. watu sio wajinga.

wananchi wote una maana ya watanzania wote 45millions? ama wale tu wananaowaunga mkono UKAWA?
 
mwenyekiti ajae chadema ni lowasa,,,washinde ama wasishinde uchaguzi....mbowe itabidi arudi kusimamia ukumbi wake wa disco....

katibu mkuu atakuwa hamis mgeja....
 
Kumbe
 
Mbowe ni Jabali la Kisiasa la Africa
 
pole mkuu , vita havina macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…