Myanguneni
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 1,192
- 276
Mh. Mbowe amekwisha jiwekea nafasi yake katika historia ya siasa. Mwenzangu Dr. Slaa amejivunjia heshima yake. Hata kama UKAWA wapigwe bao la mkono, wananchi wote wanajua nani mkweli na nani pandikiza. watu sio wajinga.
wananchi wote una maana ya watanzania wote 45millions? ama wale tu wananaowaunga mkono UKAWA?