Utabiri wangu kuhusu Mbowe

Sagacity

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
252
150
Katika wanasiasa watakaokuwa na historia iliyotukuka katika siasa za upinzani ni Mh.Freeman Alkael Mbowe. Mbowe ni zaidi ya kiongozi, anabeba nyanja zote za uongozi maono(vision),ushawishi(influence) na hatima(destiny). Mimi naamini Mbowe anajenga chama kama taasisi, ipo siku Mbowe ataiacha CHADEMA katika mikono salama na hapo ndipo utakuwa mwisho wake wa siasa. Ni mwanasiasa atakayeondoka CHADEMA bila bughudha kama akina Dr.Slaa, Zitto, Arfi said, Dr.Kaborou nk. Na Mbowe atakuwa na historia ya kutukuka ndani ya nchi kupita mwanasiasa yoyote wa upinzani.
Swali la kujiuliza, hivi Mbowe asingekuwa mwenyekiti chama hiki kingekuwa kimesambaratika mapema sana.
 
Watu wanasema ukasikazini lakini bila akili ya Mbowe kukisimamia vizuri hiki chama kingeshasambalatika. Me nafurahia kuona chama kinazidi kuwa kikubwa chini ya mbowe naamini chini ya mbowe CDM itafika. Wanaosema ukaskazini hawana walijualo polepole kitafika na kila kabila litapata viongozi wa juu CDM ilimladi wanaakili dhabiti ya kukiongoza sio akina zitto na slaa
 
Mbowe ataondoka kwa aibu na kashifa mbaya. Sema watu wako kimya kwa sababu wako kwenye campaign. Ngoja washindwe utakuja kuniambia. Huwezi kuuza chama bila kuangalia risks zake namna hiyo. Ni mtu mwenye shule ndogo tu anayeweza kuchukua such risks. Tunza hii message utasoma siku zijazo na utanikumbuka.
 
Mbowe ataondoka kwa aibu na kashifa mbaya. Sema watu wako kimya kwa sababu wako kwenye campaign. Ngoja washindwe utakuja kuniambia. Huwezi kuuza chama bila kuangalia risks zake namna hiyo. Ni mtu mwenye shule ndogo tu anayeweza kuchukua such risks. Tunza hii message utasoma siku zijazo na utanikumbuka.

Ashindwe Nani? Sisi Hatuwazi Kushindwa Tushindwe Nanani Wakati Sisi Ndio Wenye Nchi Na Tumeamua Kuichukua Nchi Yetu? Tahazali Msituibie Kura Zetu
 
Katika wanasiasa watakaokuwa na historia iliyotukuka ktk siasa za upinzani ni Mh.Freeman Alkael Mbowe. Mbowe ni zaidi ya kiongozi,anabeba nyanja zote za uongozi maono(vision),ushawishi(influence) na hatima(destiny). Mimi naamini Mbowe anajenga chama kama taasisi,ipo siku Mbowe ataiacha CHADEMA katika mikono salama na hapo ndipo utakuwa mwisho wake wa siasa. Ni mwanasiasa atakayeondoka CHADEMA bila bughudha kama akina Dr.Slaa,Zitto,Arfi said,Dr.Kaborou nk. Na Mbowe atakuwa na historia ya kutukuka ndani ya nchi kupita mwanasiasa yoyote wa upinzani.
Swali la kujiuliza,hivi Mbowe asingekuwa m/kiti chama hiki kingekuwa kimesambaratika mapema sana.

Endelea kuamini IVO. ILA TIME WILL TELL
 
Mbowe ataondoka kwa aibu na kashifa mbaya. Sema watu wako kimya kwa sababu wako kwenye campaign. Ngoja washindwe utakuja kuniambia. Huwezi kuuza chama bila kuangalia risks zake namna hiyo. Ni mtu mwenye shule ndogo tu anayeweza kuchukua such risks. Tunza hii message utasoma siku zijazo na utanikumbuka.
Hao wenye shule kubwa wamelifikisha wapi taifa?
 
Nimepita maeneo fulani ya tabata nimekuta watoto umri miaka 7 mpaka 15 wanacheza mpira, timu moja inaitwa magufuli na nyingine Lowasa. Magufuli alikuwa kafungwa 2. Mmoja akawa analalamika mwenzie akamjibu si umechagua mwenyewe kuwa magufuli. Hawa watoto wamenifurahisha sana kwa ubunifu wao!
 
Katika wanasiasa watakaokuwa na historia iliyotukuka ktk siasa za upinzani ni Mh.Freeman Alkael Mbowe. Mbowe ni zaidi ya kiongozi,anabeba nyanja zote za uongozi maono(vision),ushawishi(influence) na hatima(destiny). Mimi naamini Mbowe anajenga chama kama taasisi,ipo siku Mbowe ataiacha CHADEMA katika mikono salama na hapo ndipo utakuwa mwisho wake wa siasa. Ni mwanasiasa atakayeondoka CHADEMA bila bughudha kama akina Dr.Slaa,Zitto,Arfi said,Dr.Kaborou nk. Na Mbowe atakuwa na historia ya kutukuka ndani ya nchi kupita mwanasiasa yoyote wa upinzani.
Swali la kujiuliza,hivi Mbowe asingekuwa m/kiti chama hiki kingekuwa kimesambaratika mapema sana.
Baada ya uchaguzi ndo atapotea kabisa ktk siasa, aombe lwa Mungu wake washinde kitu ambacho hakiwezekani.
Yeye na genge lake viongozi waandamizi, ndo mwisho! Chadema itahitaji watu kama Mnyika na Mdee kuiinua tena toka sakafuni.
 
Mbowe ataondoka kwa aibu na kashifa mbaya. Sema watu wako kimya kwa sababu wako kwenye campaign. Ngoja washindwe utakuja kuniambia. Huwezi kuuza chama bila kuangalia risks zake namna hiyo. Ni mtu mwenye shule ndogo tu anayeweza kuchukua such risks. Tunza hii message utasoma siku zijazo na utanikumbuka.

Haina tija wa haitakiwi kutunzwa. Tuliambiwa cdn haifiki2010 itakua imesambaratika ikatoboza tena kwa kishindo. Hawakuchoka wakaendelea na wimbo wao haifiki2012 ikatoboza tena kwa nguvu kubwa sasa naona mnaendelea na nyimbo zile zile.
 
Back
Top Bottom