Komamanga
JF-Expert Member
- May 2, 2009
- 221
- 17
Hivi mmesahau kwa huyu ni yule shehe aliyewahi kutabiri kwamba kwenye uchaguzi wa 2005 Tanzania ingepata rais wa kike????????????????????????. Yeye yupo kazini jamani
Huko mbona mbali sana jamani, mimi nilishawahi kupiga simu kati ya moja ya vipindi vyake redioni na kumuuliza juu ya mahesabu yake inakuwaje kila siku anatabiri kwamba timu fulani ya mpira itashinda au itashindwa je inakuwaje pale timu zinapotoka draw/ suluhu bila ya kufungana mbona hajawahi sema hata siku moja mahesabu yake yanakwqenda vipi?
Kilichoendelea sijui ila swali langu sikujibiwa wala kuongelewa kabisa.