Mudawote USSR iboya 2021 Magonjwa Mtambuka comte mama D Mama Amon jingalao YEHODAYA Ritz Countrywide zindouna Elitwege@wakudadavuwaMh Mbowe ata achiwa ila moto wa siasa utapamba moto mara saba sabini ya sasa ikumbukwe ana achiwa kwa mashinikizo yanaendelea na hali inayo endelea kwa sasa hasa ule mgomo unao taka gawanya watanzania kwa udini na vyama. .
Nashukuru watu waidara za serikali walio shauri na wanao zidi shauri tukubali yashe au taifa liwe ndimi mbili jambo litautikisa muungano.
2025...... Hali ni tete itakuwa ccm patachimbika jambo idara nyeti litawaweka pembeni kusubiri wazee wa chama hiyo itakuwa hekima kubwa kuogopa chombo kikubwa cha ulinzi kushika nchi wakati mambo wanaweka sawa ili wasifike uko... Jamaa watatoka nje na wazee wata amua... Wazee gani je akina nani pray for nation..