Utabiri wa Mbowe kuachiwa na siasa za Tanzania kuelekea 2025

Mh Mbowe ata achiwa ila moto wa siasa utapamba moto mara saba sabini ya sasa ikumbukwe ana achiwa kwa mashinikizo yanaendelea na hali inayo endelea kwa sasa hasa ule mgomo unao taka gawanya watanzania kwa udini na vyama.

Nashukuru watu waidara za serikali walio shauri na wanao zidi shauri tukubali yashe au taifa liwe ndimi mbili jambo litautikisa muungano.

2025...... Hali ni tete itakuwa ccm patachimbika jambo idara nyeti litawaweka pembeni kusubiri wazee wa chama hiyo itakuwa hekima kubwa kuogopa chombo kikubwa cha ulinzi kushika nchi wakati mambo wanaweka sawa ili wasifike uko... Jamaa watatoka nje na wazee wata amua... Wazee gani je akina nani pray for nation..

Update..
Napenda kuwakumbusha utabiri huu niliotoa mwakajana 5 sep leo 04.03.2022 umetimia. What is next.... Only God know.
Utabiri wako ni sawa nankusema Mwakani Watu wengi watafariki na wengine watapata umaskini mkubwa sana.

Very obvious.
 
Mh Mbowe ata achiwa ila moto wa siasa utapamba moto mara saba sabini ya sasa ikumbukwe ana achiwa kwa mashinikizo yanaendelea na hali inayo endelea kwa sasa hasa ule mgomo unao taka gawanya watanzania kwa udini na vyama.

Nashukuru watu waidara za serikali walio shauri na wanao zidi shauri tukubali yashe au taifa liwe ndimi mbili jambo litautikisa muungano.

2025...... Hali ni tete itakuwa ccm patachimbika jambo idara nyeti litawaweka pembeni kusubiri wazee wa chama hiyo itakuwa hekima kubwa kuogopa chombo kikubwa cha ulinzi kushika nchi wakati mambo wanaweka sawa ili wasifike uko... Jamaa watatoka nje na wazee wata amua... Wazee gani je akina nani pray for nation..

Update..
Napenda kuwakumbusha utabiri huu niliotoa mwakajana 5 sep leo 04.03.2022 umetimia. What is next.... Only God know.
Only God knows tena, si uendelee kutabiri??...😀🤷‍♂️
 
Back
Top Bottom