Utabiri wa Good News kwa CHADEMA: DPP Ataifuta Kwa Nolle, Ile Kesi ya Ugaidi ya Lwakatare!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,499
113,610
wanabodi,

Huu ni utabiri wa habari njema kwa Chadema, hatimaye ile kesi ya Ugaidi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi wa Chadema, wilfred Rakatare, na Joseph Ludovick, sasa itafuta rasmi na DPP kwa kutumia mamlaka yake ya "Nolle Proseque!".

DPP anapoifuta kesi yoyote kwa kutumia Nolle, hawajibiki kutoa maelezo yoyote kwa yoyote, na uamuzi huo wa DPP huwa ni wa mwisho, final and conclusive hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!.

Vivyo hivyo kwa taarifa hii, na mimi naomba nisihojiwe na yoyote wala kuulizwa lolote kuhusu utabiri huu, hadi pale utakapotekelezwa!.

Lengo la kukuletea utabiri huu ni ili kukufanya tuu wewe kama mwana JF to be the first to know, kwa sababu katika hatua hii, unaweza kukuta hata huyo DPP mwenyewe, wala ofisi ya DPP bado haijajua kuwa itatakiwa kutoa Nolle, kuifuta kesi hiyo!.

Jumapili Njema,

Pasco

Kwa wanaopenda kujua zaidi kuhusu Nolle, karibuni hapa!.
DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi

Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa

Kagoda: Kamwe haitafikishwa Mahakamani!

Simshangai Pasco wa JF tu; hapana
 
Nimemuona P kwenye mada za CHADEMA. Utabiri wa mabaya. P ulituasa tuepuke prophecy of doom. Tusiwaase wengine huku sisi tunatenda.

Hakuna kosa kubwa tutalifanya kama kuombea CHADEMA ife. Hiyo laana haitakaa ituache, itakula nasi sahani moja. Kama tulikubali NCCR na CUF vinyongwe, tusikubali haya kwa CHADEMA.

Makala nyingi za kuiponda CHADEMA na kukiombea mabaya hata kama sio sehemu ya zile project zina ukakasi na kuacha maswali mengi kuliko majibu.

Je, kuna personal issues nje ya politik?

Jr
Mkuu Mshana Jr, kwanza heshima mbele, hakuna mtu yoyote anayeiombea Chadema ife, kosa langu ni kuwa mkweli too much.

Humu jf tuna members wa aina 3, tuna
  1. Simple minds, discuss people, wao badala ya kujadili hoja iliyo mezani, hawa watamjadili mtoa hoja.
  2. Ordinary minds, discuss events, hawa watadili matukio, nini kimetokea etc
  3. Great minds discuss ideas, hawa watajadili hoja iliyo mezani.
Hivyo naomba keep on being free, kujadili watu, matukio na hoja, katika mabandiko yangu, ukiweza kujibu hoja, nitashukuru, ila hata ukinijadili, sikulaumu na likes nakutwangia.
Ukipata muda karibu ujibu hoja za bandiko hili.

Asante
P
 
wanabodi,

Huu ni utabiri wa habari njema kwa Chadema, hatimaye ile kesi ya Ugaidi inayomkabili ....sasa itafuta rasmi na DPP kwa kutumia mamlaka yake ya "Nolle Proseque!".

DPP anapoifuta kesi yoyote kwa kutumia Nolle, hawajibiki kutoa maelezo yoyote kwa yoyote, na uamuzi huo wa DPP huwa ni wa mwisho, final and conclusive hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!.

Vivyo hivyo kwa taarifa hii, na mimi naomba nisihojiwe na yoyote wala kuulizwa lolote kuhusu utabiri huu, hadi pale utakapotekelezwa!.

Lengo la kukuletea utabiri huu ni ili kukufanya tuu wewe kama mwana JF to be the first to know, kwa sababu katika hatua hii, unaweza kukuta hata huyo DPP mwenyewe, wala ofisi ya DPP bado haijajua kuwa itatakiwa kutoa Nolle, kuifuta kesi hiyo!.

Jumapili Njema,

Pasco
View attachment 1825109

Paskali.
Rejea za Mfululizo huu wa makala za DPP
View attachment 1825142
View attachment 1825139
View attachment 1825143
Hili jambo, tumelipigia Sana kelele, tumepandisha ma thread na mathreads, makala na makala hatimaye Leo kimefanyika kitu.

wa kilichofanyika leo, Ile Nolle ya Mbowe, hongera Sana DPP, utabarikiwa, aliyekutuma atabarikiwa, Tanzania tutabarikiwa. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana na haki ikaonekana imetendeka.

Mungu ibariki Tanzania,
Pasco
 
Alianza kumsurutisha Spika wa Bunge live na kumfurumusha mkashangilia kwa kuwa hamkumpenda Ndugai kama Ndugai lkn haikusu Ndugai bali Bunge, sasa anaamua nani afungwe yupi aachiwe.

Endeleeni kucheka tu lkn nchi inaharibiwa na huyu siajabu beyond repair!
 
Hili jambo, tumelipigia Sana kelele, tumepandisha ma thread na mathreads, makala na makala hatimaye Leo kimefanyika kitu.

wa kilichofanyika leo, Ile Nolle ya Mbowe, hongera Sana DPP, utabarikiwa, aliyekutuma atabarikiwa, Tanzania tutabarikiwa. Kumbe DPP kutenda haki kunawezekana na haki ikaonekana imetendeka.

Mungu ibariki Tanzania,
Pasco
Lengo ilikuwa ni kumzuia Mbowe asiendelee na issue za katiba mpya wala hapakuwa na kesi yoyote
 
wanabodi,

Huu ni utabiri wa habari njema kwa Chadema, hatimaye ile kesi ya Ugaidi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi wa Chadema, wilfred Rakatare, na Joseph Ludovick, sasa itafuta rasmi na DPP kwa kutumia mamlaka yake ya "Nolle Proseque!".

DPP anapoifuta kesi yoyote kwa kutumia Nolle, hawajibiki kutoa maelezo yoyote kwa yoyote, na uamuzi huo wa DPP huwa ni wa mwisho, final and conclusive hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!.

Vivyo hivyo kwa taarifa hii, na mimi naomba nisihojiwe na yoyote wala kuulizwa lolote kuhusu utabiri huu, hadi pale utakapotekelezwa!.

Lengo la kukuletea utabiri huu ni ili kukufanya tuu wewe kama mwana JF to be the first to know, kwa sababu katika hatua hii, unaweza kukuta hata huyo DPP mwenyewe, wala ofisi ya DPP bado haijajua kuwa itatakiwa kutoa Nolle, kuifuta kesi hiyo!.

Jumapili Njema,

Pasco

Kwa wanaopenda kujua zaidi kuhusu Nolle, karibuni hapa!.
DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi

Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa

Kagoda: Kamwe haitafikishwa Mahakamani!

Simshangai Pasco wa JF tu; hapana
Paskali bwana! Haya ngoja ibaki hivyo hivyo
 
wanabodi,

Huu ni utabiri wa habari njema kwa Chadema, hatimaye ile kesi ya Ugaidi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi wa Chadema, wilfred Rakatare, na Joseph Ludovick, sasa itafuta rasmi na DPP kwa kutumia mamlaka yake ya "Nolle Proseque!".

DPP anapoifuta kesi yoyote kwa kutumia Nolle, hawajibiki kutoa maelezo yoyote kwa yoyote, na uamuzi huo wa DPP huwa ni wa mwisho, final and conclusive hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!.

Vivyo hivyo kwa taarifa hii, na mimi naomba nisihojiwe na yoyote wala kuulizwa lolote kuhusu utabiri huu, hadi pale utakapotekelezwa!.

Lengo la kukuletea utabiri huu ni ili kukufanya tuu wewe kama mwana JF to be the first to know, kwa sababu katika hatua hii, unaweza kukuta hata huyo DPP mwenyewe, wala ofisi ya DPP bado haijajua kuwa itatakiwa kutoa Nolle, kuifuta kesi hiyo!.

Jumapili Njema,

Pasco

Kwa wanaopenda kujua zaidi kuhusu Nolle, karibuni hapa!.
DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi

Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa

Kagoda: Kamwe haitafikishwa Mahakamani!

Simshangai Pasco wa JF tu; hapana
Sii wengi wanajua, mambo ya Chadema na ugaidi hayakuanza Leo

Sasa Polisi kama wamepewa hints juu ya wahusika ambao ni Chadema kwa nini hawachukui hatua?
Kuna public crimes na private crimes.

  1. Public crimes ni uhalifu dhidi ya public, hapa polisi wakipokea hint "taarifa za kiinteligencia" ndio wanachukua hatua kama kuzuia maandamano.
  2. Private Crimes ni uhalifu dhidi ya private individuals, polisi haipokei tip wala hai act on this, bali mwenye tip kuhusu private crimes anapaswa aende polisi kuripoti.
  3. Private crime si kama vile kumchinja mtoto wako na kumfanya kitoweo, Kuua ni kosa la jinai, regardless umemuua nani, kitendo cha mauaji kikisha fanyika ni public crime, hatua zinachukuliwa bila yoyote kuhitajika kuripoti, ila kutishiwa maisha ni private crime lazima ukaripoti polisi ndipo hatua zichukuliwe!.
  4. Hata polisi wakipita nyumbani kwako, wakuesikia unampiga mkeo au mwanao, hawata ingilia kwasababu it's a private affairs, Ila mkeo akishitaki ndio inakuwa a public crime.
  5. Hata polisi wakipita kwako wakaona mlango umevunjwa na futuma, hawaji kuuliza kulikoni, lazima ukaripoti!.
  6. Lissu alipofuatiliwa na like gari, Nissan nyeupe, alitoa taarifa kwenye Press Conference only, ili polisi wa act alipaswa akaripoti polisi.
  7. Hivyo Dr.Slaa or Dr. Mollel kama , ana ushahidi wa uhalifu wa Chadema akaripoti polisi na sio kuzungumzia mitaani au Bungeni.
  8. Natoa wito, mtu yoyote mwenye ushahidi wowote usiotia shaka kuwa Chadema inahusika na uhalifu wowote, akaripoti polisi na Jeshi makini la polisi likipokea taarifa hiyo, litafanya uchaguzi, likijiridhisha, hatua za uchaguzi wa kijinai zitafanyika na ikithibitishwa, then ndicho kitu hiki nilicho kisema hapa Ikithibitika CHADEMA ilihusika na uvunjifu wa amani, then inapaswa kufutwa kwa mujibu wa katiba! kinatakiwa kufanyika.
P.
 
wanabodi,

Huu ni utabiri wa habari njema kwa Chadema, hatimaye ile kesi ya Ugaidi inayomkabili Mkurugenzi wa Ulinzi wa Chadema, wilfred Rakatare, na Joseph Ludovick, sasa itafuta rasmi na DPP kwa kutumia mamlaka yake ya "Nolle Proseque!".

DPP anapoifuta kesi yoyote kwa kutumia Nolle, hawajibiki kutoa maelezo yoyote kwa yoyote, na uamuzi huo wa DPP huwa ni wa mwisho, final and conclusive hauwezi kuhojiwa na mamlaka yoyote!.

Vivyo hivyo kwa taarifa hii, na mimi naomba nisihojiwe na yoyote wala kuulizwa lolote kuhusu utabiri huu, hadi pale utakapotekelezwa!.

Lengo la kukuletea utabiri huu ni ili kukufanya tuu wewe kama mwana JF to be the first to know, kwa sababu katika hatua hii, unaweza kukuta hata huyo DPP mwenyewe, wala ofisi ya DPP bado haijajua kuwa itatakiwa kutoa Nolle, kuifuta kesi hiyo!.

Jumapili Njema,

Pasco

Kwa wanaopenda kujua zaidi kuhusu Nolle, karibuni hapa!.
DPP wetu kizuizi katika mapambano dhidi ya ufisadi

Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa

Kagoda: Kamwe haitafikishwa Mahakamani!

Simshangai Pasco wa JF tu; hapana
Nchi imetoka gizani sn
 
Back
Top Bottom