pipi mti
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 764
- 513
Natabiri kwamba kati ya Mwisho wa mwezi huu au mwezi ujao, Tundu Lissu ataita media na kuzungumza Mambo mazito ikiwa kama technique ya kuziteka hisia za watu na kuhamasisha maandamano.
Sina ushahidi wala sijasikia tetesi na sijui atazungumzia nini, huu ni Utabiri binafsi unaotokana na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania.
NB
Utabiri unaweza ukatokea au usitokee sababu umetokana tu na mawazo yangu binafsi.
Sina ushahidi wala sijasikia tetesi na sijui atazungumzia nini, huu ni Utabiri binafsi unaotokana na uzoefu wangu katika siasa za Tanzania.
NB
Utabiri unaweza ukatokea au usitokee sababu umetokana tu na mawazo yangu binafsi.