OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,756
- 9,509
Hili ni bandiko la utabiri,
Hii tume haina maisha marefu, serikali itaibomoa kabla ya mwaka 2030.
Ujio wa NIDA umeleta changamoto kwa NEC sababu kitambulisho cha mpiga kura hakina matumizi mengine ya muhimu tofauti na kupiga kura, lakini NIDA ndio habari ya mjini yaani ni kama maji lazima uyanywe, bila NIDA lazima kuna mahari utakwama.
Itakuwa ngumu kwa mtu kupanga foleni ofisi ya kata au kijiji ili apate KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA wakati huo akikaa hapo zaidi ya masaa mawili.
Hii tume itavunjwa na kuundwa upya na kitambulisho cha kupiga kura kitakachotumika mwaka 2030 itakuwa ni kitambulisho cha NIDA.
Tuombe uzima yajayo yanafurahisha.
Hii tume haina maisha marefu, serikali itaibomoa kabla ya mwaka 2030.
Ujio wa NIDA umeleta changamoto kwa NEC sababu kitambulisho cha mpiga kura hakina matumizi mengine ya muhimu tofauti na kupiga kura, lakini NIDA ndio habari ya mjini yaani ni kama maji lazima uyanywe, bila NIDA lazima kuna mahari utakwama.
Itakuwa ngumu kwa mtu kupanga foleni ofisi ya kata au kijiji ili apate KITAMBULISHO CHA MPIGA KURA wakati huo akikaa hapo zaidi ya masaa mawili.
Hii tume itavunjwa na kuundwa upya na kitambulisho cha kupiga kura kitakachotumika mwaka 2030 itakuwa ni kitambulisho cha NIDA.
Tuombe uzima yajayo yanafurahisha.