ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,257
Ume badili gia ulisema hakuna team iliyo pata point ugenini nmekuonyesha jamaa wametwanga mtu sita unageuza mkiaKwenye timu zote 16 unaleta timu moja tu ndio ujue ni jinsi gani ilivyo ngumu kufanya hivyo na ndio maana unaona pamoja na dharau zako zote kwa simba ila ndio timu pekee kundi D kupata point ugenini sio Asec Mimosas wala Barkane