Katika michuano ya kombe la mapinduzi msimu 2023/24, mechi pekee ambayo timu ya Mlandege ilishinda katika michuano hiyo ni mechi ya fainali na ikachukua kombe.
Wakati upande mwingine, klabu ya Simba mechi pekee iliyofungwa ni ile ya fainali.
Mlandege amekutana na timu dhaifu kuliko zile alizokutana nazo mwanzo zikamvimbia na Simba amekutana na timu imara kuliko zile alizokutana nazo awali (jokes)
Mlandege amekutana na timu dhaifu kuliko zile alizokutana nazo mwanzo zikamvimbia na Simba amekutana na timu imara kuliko zile alizokutana nazo awali (jokes)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.