Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Kwa dhana hiyo ya kupokezana vijiti vya Urais wa JMT, basi baada ya Dr Magufuli uwezekano wa kupewa Mama Suluhu ni mkubwa wakati huo Dr Mwinyi akiendelea kuwa Rais na M/Kiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar. Ikitokea hivyo, Makamu wa Rais wa JMT huenda akawa Mh Majaliwa na hao wawili wakampendekeza Jaffo kuwa Waziri Mkuu.

Nami ni ndoto tu. Nawatakieni mwanzo wa W/end njema, baada ya shamra shamra za Eid Mubarak, na "byebye" Mh COVID-19
Mambo ya kupokezana ilikuwa ni lengo LA nyerere kuleta usawa kati ya nchi 2.ilikuwa baada ya Mkapa Dr.Omary Juma alitakiwa awe rais wa Tanzania bahati mbaya boyz2 men wakiongozwa na Baba riz walilipa kisasi kwa kile alichotendewa na nyerere mwaka 1995.hivyo kufanys utaratibu mzima kuvurugika-Its politics.
 
Zanzibar ni dola la kiislamu, sio rahisi kwa mwanamke kupewa nafasi ya juu.

Lakini namtakia kila jema huyu mama, ni kiongozi mwema. Jiwe kama anaweza amuachie tu naye apige muhula mmoja uliobakia.
 
Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums

P
Inasilitisha sana kuona CCM mmejipa hati Miliki ya kuongoza hii nchi.
Mwisho wenu Mwaka huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa utabiri humu JF ni noma,Pascal Mayalla aliwahi kutabiri miaka hio rais ajae yawezekana akawa Magu kipindi hicho hata CCM bado mchakato wa kuchukua form za urais haujaanza na ikawa hivyo,kuna njemba inaitwa Magamba matatu huko 2012 iliwahi kutabiri style ya uongozi utakavyokua wa awamu ya 5 na imekua 99% kama mjomba alivyotabiri,kuna uzi humu watu walikua wanabishana balaa kwamba nani atakua ni mkuu wa majeshi baada ya Mwamunyange njemba 1 ikakomaa humu lazima awe Mabeyo tu na ikawa hivyo.

So JF ni kichaka kikubwa,unaweza kuta aliyeleta huu uzi ni kigogo huko Nec na walishafanya maamuzi yao wanatupima tu reaction wana Nzengo.
Mwenye macho haambiwi tizama.
 
Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums

P
Naunga mkono hoja mkuu ila Mh Shein akuwa Makamo Kwa miaka 10...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu ana maoni yake. Naona munazungumzia Zanzibar kama vilewazanzibari hatupo?. Hivi muna thubutu kutuchagulia raisi au ndio mazoweya kuwa kila bovu munalo lipenda nyinyi kwa wazanzibari sio lolote. Sio Hussein wala Mbarawa, kwa Zanzibar hawana ubavu wala hawatakiwi. liliopo ni kutumia nguvu ya dola. Lakini mwaka huu tunamaliza mzizi wa FITINA. Hilo mulijue wazanzbari washasema NOOOOOOOOOOO.
 
HIVI ZANZIBAR NI NCHI YA KIFALME NAONA MWINYI MWINYI WATU WAMEISHA HUKO ZENJ?
Shida yao Ni moja tu, they have never been groomed to serves the office of president.
Ikulu Ni ofisi nyeti yenye vigezo vingi mno na litaasisi lenye mizizi mirefu if your are not vetted enough hakuna namna unachezea tofali .
 
Kila mtu ana maoni yake. Naona munazungumzia Zanzibar kama vilewazanzibari hatupo?. Hivi muna thubutu kutuchagulia raisi au ndio mazoweya kuwa kila bovu munalo lipenda nyinyi kwa wazanzibari sio lolote. Sio Hussein wala Mbarawa, kwa Zanzibar hawana ubavu wala hawatakiwi. liliopo ni kutumia nguvu ya dola. Lakini mwaka huu tunamaliza mzizi wa FITINA. Hilo mulijue wazanzbari washasema NOOOOOOOOOOO.
Naheshimu maoni yako, Ila napenda nikwambie huu mwaka utampata fursa kujua Kuna sisi wananchi na Kuna kundi la wafanya maamuzi.

Usije ukashangaa matokeo utayoyaona, Bali itumie Kama fursa kujifunza mwenendo wa siasa hautokani na Wala sio lazima hatma yake iamuliwe na wananchi sometimes wafanya maamuzi ndio hujua Nani Ni sahihi kwa wakati sahihi.
 
Mkuu Chabuso, kusema ukweli, elimu ya uraia inahitajika sana, hizo sio sababu, huna haja ya kutumia maneno makali kama ufedhuli, wala sababu ya rais wa Zanzibar kuondolewa umakamo wa rais sio ilifanywa kwa madhumuni ya kupunguza nguvu za Zanzibar katika Muungano bali kuulinda muungano.

Sababu halisi ni kuwa, rais wa Zanzibar alikuwa Makamo wa rais na mjumbe wa cabinet, and just incase anything happens kwa rais, Makamo wa rais anaapishwa kuwa rais.

Sasa kufuatia Tanzania kuingia mfumo wa vyama vingi ile 1992, kukawa na uwezekano wa Zanzibar kuwa na chama tofauti na Bara, hivyo rais wa Zanzibar ambae ni from opposition ataingia kwenye cabinet na just incase if anything happens kwa rais wa JMT, makamo wa rais ambaye ni opposition anaapishwa kuwa rais wa JMT. Hivyo wakabadili katiba na rais wa Zanzibar is nobody kwenye set up ya muungano, hivyo hata CUF ingechukua Zanzibar, JMT ni salama.

Ili kumpa heshima rais wa Zanzibar, Rais wa JMT atamteua kuwa Waziri asiye na Wizara maalum, ili aingie kwenye cabinet, Komando aligoma hata kuapishwa, Karume na Dr. Shein wamekubali uteuzi na wakaapishwa kama mawaziri wasio na wizara maalum, ila wamesusia kuhudhuria vikao vya cabinet.

Usikute ndio maana kuna fulani huwa anashinda lakini hapewi!.
P
Mkuu sijui kama unajua maana ya neno FEDHULI,Kama kusema kuwa Zanzibar imekatwa makali katika Muungano pale alipofanywa Raisi wa Zanzibar kuwa Waziri asie na Wizara maalumu kwenye serikali JMT ni ufefhuli basi naomba radhi..

Je umewahi kutafakari kwanini Karume na Shein,maraisi wawili hawa wa Muungano wamesusa vikao vya serikali ya JMT??

Je kwasababu Shein anamuogopa mama mwenye macho mazuri au kwasababu anaona amedharauliwa??

Au kwasababu anaona haina maana kwa yeye kuwapo pale kwavile mrembo yupo pale?
 
Dr.mwinyi Nampa asilimia Mia kwa Zanzibar,..
Yet ndie atakaeipeperusha bendera ya ccm Zanzibar...
Dr Mwinyi sio Mzanzibari,haijui Zanzibar,hajawahi kuishi Zanzibar,hajui matatizo ya Wazanzibari

Tunataka Mzanzibari mzalendo ambae anaweaza kuwaongoza Wazanzibari kwa maslahi ya Zanzibar

Naona Seif anafaa,wengine wote ni wachumia tumbo tu,vibaraka wa Tanganyika
 
Back
Top Bottom