Utabiri: Rais ajaye Tanzania (2015) ni Mwanamke

Utabiri: Rais ajaye Tanzania (2015) ni Mwanamke

tatanyengo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2011
Posts
1,133
Reaction score
282
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.

Source: Magazeti ya leo kama vile Majira na Jambo Leo
 
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.

Source: Magazeti ya leo.
tatanyengo lete habari iliyokamilika siyo vipande vipande mkuu. Huyo mtabiri ni nani? Kwani yule mzee wa Magomeni karibu na BP (zamani) amefufuka?

Haya mambo ya utabiri (uchawi) yataliangamiza taifa letu tukufu!
 
Last edited by a moderator:
Kuna Taifa tukufu usawa huu.Mtu kiongozi wa dini kabisa na haruhusiwi kuzini ila unakuta ana watoto kibao mtaani.
tatanyengo lete habari iliyokamilika siyo vipande vipande mkuu. Huyo mtabiri ni nani? Kwani yule mzee wa Magomeni karibu na BP (zamani) amefufuka?

Haya mambo ya utabiri (uchawi) yataliangamiza taifa letu tukufu!
 
Last edited by a moderator:
Kuna Taifa tukufu usawa huu.Mtu kiongozi wa dini kabisa na haruhusiwi kuzini ila unakuta ana watoto kibao mtaani.
Mkuu Awadhi2009 Utukufu wa taifa hauwezi kuondolewa na baadhi ya viongozi wa dini wanaozini!
 
Last edited by a moderator:
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.

Source: Magazeti ya leo.

yaah, ni kweli na huyo rais mwanamke is my wife! 😱hwell:
 
nchi hii bwana ina vichekesho sana ...Yaani atakuwa kama alivyo spika makinda au ..hahaaaaa ...bado sana
 
Taifa hili bado sana kuwa na rais mwanamke

HAYO NI YAKO WE HUMJUI YULE MKE WA KAMBO WA MZEE DIGITAL SIJAHALA!? Baada ya tuhuma za ukanda (North) wanataka kufanya hivyo nadani ya cdm nyota iliwaka kwa Mdee lakinoi kwa kuwa alishamtolea nje M'Kigoda hana lake (Sasa wapi)? ZIWA. Nani (MRS) ili kutokupeleka mbali fikra POTOFU ZA DIGITAL
 
Propaganda zimeanza, ccm wameanza kujaribu soko, time will tell..
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nashangaa magazeti ya TZ yanaweka utabiri front page. Mimi niliposikia nilidhani ni kiongozi wa kitaifa katoa tamko hilo, kumbe ni wale wale akina Yahya.
 
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.

Source: Magazeti ya leo.
Ni vita ya Kisaikolojia na kwa kuwa wapiga kura wengi ni naniii basi upepo utaanza kuvuma kuelekea huko na waliokuwa na nia hiyo wameshapata moral support na wataingia uwanjani wakiwa wanajiamini zaidi.
Yetu macho!!!!!!!!!!
 
Itakuwa staili design ya iliyomuengua Sitta kwenye Uspika? Ambapo king maker Rostam alitoa amri bi Kiroboto ndiyo zamu yake kuwa spika, mzee mzima Sitta akajikuta anasalimu amri kuutema uspika kwa kuwa alishindwà kujigeuzà kuwa mwanamkè kama ambavyo magamba waliweka kama sharti ili uukwae uspika!
 
Back
Top Bottom