Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Kutokana na matukio ya kukosekana kwa usalama mkoani Tanga kama vile magaidi wa mapango ya Amboni,kuchomwa moto mabweni ya chuo kikuu cha Sebastian Kulola na utekwaji wa magari kwenye Barabara ya Segera Tanga ni baadhi ya matukio ambayo muda si mrefu yatamsababishia Martin Shigela kutumbuliwa na rais John Magufuli maana yeye kama mkuu wa mkoa na mkuu wa ulinzi na usalama ameshindwa kuyamaliza matukio hayo ya uvunjifu wa usalama mkoani mwake.