britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Habari heri ya mwaka mpya wanajamii
Kuna mambo ambayo yatatokea mwaka 2018,
1.Safari ya Kwanza ya nje ya bara la Africa ya mheshimiwa Magufuli,
2. Watu wa karibu wa Magufuli watamwangusha kiutendaji, wale aliowa amini wataonekana katika kashfa ambazo si rahis kuzimezea
3. Miez minne ya mwanzo itakuwa migumu mnoo, lakin kuanzia mwezi wa tano Magufuli atalegeza Sana maana malengo yake yatakuwa yamekaribia kukamilika ya kuinyoosha Tanzania,
4. Mwaka 2018 ni Neema Kwa bwana Khamis Kagasheki, Mrisho Gambo, Makongoro Nyerere, Nape Nnauye,
Lakin pia unaweza kuwa mbaya Kwa Paul makonda, Na bwana Nyalandu, Edward Lowassa,
5. Kunaweza kutokea msiba wa mtu mkubwa serikalini au aliyewahi kuwa mkubwa serikalini au mke wa aliyewahi kuwa mkubwa serikalini,
6. Kutakuwepo uhusiano mzuri na mataifa ya Africa kusini, Canada na kwingineko lakin Rwanda tunaweza ingia nao msuko suko mkubwa
7. Miradi mikubwa itaanza na wawekezaji watakuja Kwa wingi mwaka huu na watakubaliana na serikali katika masharti,
8. Kudhoofika Kwa vyama vya upinzani vya siasa, hata CCM itadhoofika Kwa kuwa na na nidhamu ya Unafiki juu ya mwenyekiti wao, hatapata washauri wazuri, maana wanamuogopa, Ila cha kusikitisha Zaid tutaipoteza nguvu ya Chadema,
9. Vyombo vya habari vitatiwa msuko suko Sana na vitaandika Kwa nidham ya uoga,
10. Kuna watu maarufu watastaafu siasa na kuenda kupumzika kama kina Bernard na wengine kina Mwandosya,
11. Uteuzi utaegemea Zaid jeshi
12. Tanzania itatuhumiwa kurejesha hatua za maendeleo ya shirikisho la Africa mashariki, Kwa kukosa itiyari wa maamuzi muhimu,
13. Pole Sana Diamond Platinum kwa mwaka 2018 , si mwaka wako,
14. Nilitaka kuzungumza juu ya Ben saanane Ila sisemi Jambo, Ila 2018 itasema,
15. Pole Sana mbowe mambo si mazuri kwako mwaka huu, kuna watakaokupinga ndani ya chama,
We mwanafalsafa unaona nini??
Kuna mambo ambayo yatatokea mwaka 2018,
1.Safari ya Kwanza ya nje ya bara la Africa ya mheshimiwa Magufuli,
2. Watu wa karibu wa Magufuli watamwangusha kiutendaji, wale aliowa amini wataonekana katika kashfa ambazo si rahis kuzimezea
3. Miez minne ya mwanzo itakuwa migumu mnoo, lakin kuanzia mwezi wa tano Magufuli atalegeza Sana maana malengo yake yatakuwa yamekaribia kukamilika ya kuinyoosha Tanzania,
4. Mwaka 2018 ni Neema Kwa bwana Khamis Kagasheki, Mrisho Gambo, Makongoro Nyerere, Nape Nnauye,
Lakin pia unaweza kuwa mbaya Kwa Paul makonda, Na bwana Nyalandu, Edward Lowassa,
5. Kunaweza kutokea msiba wa mtu mkubwa serikalini au aliyewahi kuwa mkubwa serikalini au mke wa aliyewahi kuwa mkubwa serikalini,
6. Kutakuwepo uhusiano mzuri na mataifa ya Africa kusini, Canada na kwingineko lakin Rwanda tunaweza ingia nao msuko suko mkubwa
7. Miradi mikubwa itaanza na wawekezaji watakuja Kwa wingi mwaka huu na watakubaliana na serikali katika masharti,
8. Kudhoofika Kwa vyama vya upinzani vya siasa, hata CCM itadhoofika Kwa kuwa na na nidhamu ya Unafiki juu ya mwenyekiti wao, hatapata washauri wazuri, maana wanamuogopa, Ila cha kusikitisha Zaid tutaipoteza nguvu ya Chadema,
9. Vyombo vya habari vitatiwa msuko suko Sana na vitaandika Kwa nidham ya uoga,
10. Kuna watu maarufu watastaafu siasa na kuenda kupumzika kama kina Bernard na wengine kina Mwandosya,
11. Uteuzi utaegemea Zaid jeshi
12. Tanzania itatuhumiwa kurejesha hatua za maendeleo ya shirikisho la Africa mashariki, Kwa kukosa itiyari wa maamuzi muhimu,
13. Pole Sana Diamond Platinum kwa mwaka 2018 , si mwaka wako,
14. Nilitaka kuzungumza juu ya Ben saanane Ila sisemi Jambo, Ila 2018 itasema,
15. Pole Sana mbowe mambo si mazuri kwako mwaka huu, kuna watakaokupinga ndani ya chama,
We mwanafalsafa unaona nini??