GE2025 Utabiri: Baada ya uchaguzi mkuu, kwa mara ya kwanza Tanzania inakwenda kuwa na Waziri Mkuu mwanamke

GE2025 Utabiri: Baada ya uchaguzi mkuu, kwa mara ya kwanza Tanzania inakwenda kuwa na Waziri Mkuu mwanamke

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

6 Pack

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2022
Posts
3,653
Reaction score
8,000
Niaje waungwana

Baada ya uchaguzi mkuu kuisha, na serikali mpya kuingia madarakani, namuona mwanamke fulan ambae kiumri sio mkubwa sana akiteuliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.

Uteuzi huo utakuwa wenye mshangao, na mjadala mkubwa kutokana na ugeni wa mteuliwa, ila mwisho hali itatulia na waziri mkuu ataapishwa na kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

Wale mnaofikiri kuwa nafasi hiyo itaenda kwa Mchengerwa (mkwe), Makonda (mtoto wa kambo), au Biteko msahau kabisa mawazo hayo.
 
Hata mimi nimeota waziri mkuu atakuwa mwanamke.

Screenshot_20250902_114918_ChatGPT.jpg
 
Niaje waungwana

Baada ya uchaguzi mkuu kuisha, na serikali mpya kuingia madarakani, namuona mwanamke fulan ambae kiumri sio mkubwa sana akiteuliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.

Uteuzi huo utakuwa wenye mshangao, na mjadala mkubwa kutokana na ugeni wa mteuliwa, ila mwisho hali itatulia na waziri mkuu ataapishwa na kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

Wale mnaofikiri kuwa nafasi hiyo itaenda kwa Mchengerwa (mkwe), Makonda (mtoto wa kambo), au Biteko msahau kabisa mawazo hayo.
Kwa hiyo atateuliwa Salma Kikwete sio?
 
Niaje waungwana

Baada ya uchaguzi mkuu kuisha, na serikali mpya kuingia madarakani, namuona mwanamke fulan ambae kiumri sio mkubwa sana akiteuliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.

Uteuzi huo utakuwa wenye mshangao, na mjadala mkubwa kutokana na ugeni wa mteuliwa, ila mwisho hali itatulia na waziri mkuu ataapishwa na kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

Wale mnaofikiri kuwa nafasi hiyo itaenda kwa Mchengerwa (mkwe), Makonda (mtoto wa kambo), au Biteko msahau kabisa mawazo hayo.
Kama rais tunaye sasa waziri mkuu kuwa mwanamke Kuna nini cha ajabu?
 
Niaje waungwana

Baada ya uchaguzi mkuu kuisha, na serikali mpya kuingia madarakani, namuona mwanamke fulan ambae kiumri sio mkubwa sana akiteuliwa kuwa waziri mkuu wa Tanzania.

Uteuzi huo utakuwa wenye mshangao, na mjadala mkubwa kutokana na ugeni wa mteuliwa, ila mwisho hali itatulia na waziri mkuu ataapishwa na kuendelea na majukumu yake kama kawaida.

Wale mnaofikiri kuwa nafasi hiyo itaenda kwa Mchengerwa (mkwe), Makonda (mtoto wa kambo), au Biteko msahau kabisa mawazo hayo.
Wewe naye unapiga ramli chonganishi tu. Utabiri utabiri, Mimi natabiri kuwa Kuna fisiemu mumoja atabinuka kinyelo juu mara baada ya maigizo kukamilika
 
Back
Top Bottom