Mbona kuna wachaga wamezaliwa Dar lakini wanadai kwao ni Moshi?huko aliko zaliwa bas ndo nyumbani kwao
Sehemu kama hizi usingizi wa kulazimisha hauji sanasana utafumba macho tu!Mimi pia.
Na ikibidi kupita njia hiyo lazima lazima nisinzie tangu mwanzo wa safari mpaka mwisho wa safari.
Hahahah! Tena macho yalivyo na uchokozi hata kufumba hayatafumba,yatakuwa yanachungulia kipembeni pembeniSehemu kama hizi usingizi wa kulazimisha hauji sanasana utafumba macho tu!
Binadamu tunamajaribu sana...
Mm huko hunipeleki hata kama ni nyumban