- Thread starter
- #61
akina mama wanaoshinda nyumban tabu tupu. . yan wakiona umepika kapilau na wenyewe hao. ukinunua hiki na wenyewe wananunua. yan full mashindano. ukisuka yeboyebo nao wanasuka kha!
Kila kitu ni gumzo tu uswazi,usifanye ktu.
akina mama wanaoshinda nyumban tabu tupu. . yan wakiona umepika kapilau na wenyewe hao. ukinunua hiki na wenyewe wananunua. yan full mashindano. ukisuka yeboyebo nao wanasuka kha!
Kukiwa na pombe za bure mambo huwa hivi!View attachment 61319
لاحول ولاقوت
Uswahilini kuna umoja sana.
Sometimes unakera (ukizidi)
Ila katika hali ya kawaida tuu
napenda ule umoja wa kitaa
Kukiwa na pombe za bure mambo huwa hivi!View attachment 61319
We ulimakafu mwenyewe amekuruhusu kuweka picha yake
a.k.a uananzengo!
0713 kama kawa... mafuta ya samli
Duh uswaz wanabakuana hao....24 hrs kina dada na mjimama full khanga moja.....kuva nguo had wawe na safar
uswahilini maisha hayana gharama,
ukitaka hata sukari ya sh 100 utapimiwa,
miguu ya kuku na utumbo wa kuku mnatupa, wakati huku uswazi ni mboga,
wangu vip?..
eti uswazi maana yake nini kwa kiswahili?...
afu nimekumis ww!