Ndugu wana JF, kama kuna kitu ambacho kweli ninachngia sana kurudisha maendeleo ya Tanzania nyuma ni usumbufu na utirtimba uliopo hapo TRA (Customs). Ukitaka kujua kwamba Tanzania tutachukua miaka mingi kuendelea jaribu kuingiza bidhaa kutoka nje kupitia bandari ya Dar es Salaam. Kwa kweli hawa jamaa wanaohusika na kutoa mizigo bandarini ni wasumbufu na wanakatisha tamaa kwa mtu anayejaribu kujikwamua na maisha duni. Kwa wastani kuanzia siku meli inaingia mpaka upate kutoa container lako ni week tatu nazaidi.
Sisi kama wananchi na wafanya biasharawadogo wadogo tunaweza kufanya nini kurekebisha hali hii. Naomba maoni yenu.
Sisi kama wananchi na wafanya biasharawadogo wadogo tunaweza kufanya nini kurekebisha hali hii. Naomba maoni yenu.