Usumbufu mabasi Mwanza to Dar

Usumbufu mabasi Mwanza to Dar

Disposal

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
285
Reaction score
78
Njia ya John Mwanza kuja jijni Dar haileweki, kiukweli madalali wa mabasi wanatutesa wananchi. Wanakuuzia ticket, asubuhi unafika gari hawana, matokeo yake wanakupeleka kwa hovyo na genji washakula, unabaki kuhangaika tu. Imenitokea jana kipindi natoka Mwanza to Dar.
 
kwani ofisi hazipo?

Zipo ndo unaenda kukata wanakukatia Vizuri tu Kumbe Ni wahuni hawana magari ukifika asubuhi wanakuambia panda Lile sasa kwa sababu wanakuwa wamekula chao unabaki kutoka macho tu kiukweli wanavyo fanya Si vyema
 
Dah, mzee nimestuka make hapa leo nina tiketi ya mwanza sasa nimepata homa ..labda ilikuwa basi gani mkuu?
 
Zipo ndo unaenda kukata wanakukatia Vizuri tu Kumbe Ni wahuni hawana magari ukifika asubuhi wanakuambia panda Lile sasa kwa sababu wanakuwa wamekula chao unabaki kutoka macho tu kiukweli wanavyo fanya Si vyema
Uwe unapanda mabasi yenye hadhi. Unaogopa kutoa elfu 50 matokeo yake ndio haya!
 
mbona mabasi yenye hadhi yanajulikanika na tiketi zao zina hadhi kabisa.
 
panda mojawapo ya haya makampuni

*Igembe Nsabo
*Leina Tours
*Kisbo Safari
*master city
*city boys

>>japokuwa kuna changamoto zake, hayo makampuni yanajitahidi.
 
Dah, mzee nimestuka make hapa leo nina tiketi ya mwanza sasa nimepata homa ..labda ilikuwa basi gani mkuu?

Kutoka huku Hakuna shida ila ukitoka kule lazima ulie utakuja kuleta mrejesho min baada ya kuwachenjia asubuhi Ndiyo wakanihakikishia Tafika salama ila nilikuwa kama watu 20 walifanyiwa uhuni tulikuwa nao garini tunacheka tu kwa uhuni wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom