Ustadh Mazinge ajirudi, amsafisha Sheikh Ponda

Sep 19, 2019
43
383
Muhadhiri Maarufu nchini Ustadh Habib Mazinge amesema, Sheikh Ponda Issa Ponda ni Mwanaharakani mkubwa nchini na kwamba kila wao walipo pata matatizo ya kukamatwa na Polisi kwa kazi yao ya kuhubiri dini ni Sheikh Ponda aliye kuwa na shughulika kuhakikisha wanatoka wote wakiwa salama.

Ameyasema hayo jana wakati akihutubia katika msiba wa Muhadhiri Maarufu nchini Ustadh Yahaya Hosea alie fariki dunia Ijumaa ya tarehe 19.03,2021 na kizikwa jana tarehe 20.03.2021 majira ya saa 11 jioni katika makaburi ya Mwanamtoti Mbagala jijini Dar es Salaam.

Maneno haya ya Ustadh Mazinge yamepokelewa kwa namna tofauti tofauti hasa ukifatia tukio la tarehe 18 Oct, 2020 ambalo Ustadh Mazinge na baadhi ya Wahadhiri walionekana mbele ya kamera za wana habari wakimshambulia Sheikh Ponda Issa Ponda kwa Kauli yake ya kusema kwa niaba ya waislaam kuunga mkono mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
 
Muhadhiri Maarufu nchini Ustadh Habib Mazinge amesema, Sheikh Ponda Issa Ponda ni Mwanaharakani mkubwa nchini na kwamba kila wao walipo pata matatizo ya kukamatwa na Polisi kwa kazi yao ya kuhubiri dini ni Sheikh Ponda aliye kuwa na shughulika kuhakikisha wanatoka wote wakiwa salama.

Ameyasema hayo jana wakati akihutubia katika msiba wa Muhadhiri Maarufu nchini Ustadh Yahaya Hosea alie fariki dunia Ijumaa ya tarehe 19.03,2021 na kizikwa jana tarehe 20.03.2021 majira ya saa 11 jioni katika makaburi ya Mwanamtoti Mbagala jijini Dar es salaam.

Maneno haya ya Ustadh Mazinge yamepokelewa kwa namna tofauti tofauti hasa ukifatia tukio la tarehe 18 Oct, 2020 ambalo Ustadh Mazinge na baadhi ya Wahadhiri walionekana mbele ya kamera za wana habari wakimshambulia Sheikh Ponda Issa Ponda kwa Kauli yake ya kusema kwa niaba ya waislaam kuunga mkono mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema katika uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Unafiki kila sehemu
Sababu Mazinge alikuwa pro Magu na Ponda alikuwa against Magu
Sasa anaanza unafiki
 
Unafiki kila sehemu
Sababu Mazinge alikuwa pro Magu na Ponda alikuwa against Magu
Sasa anaanza unafiki
Si kwenye dini tu, bali sehemu nyingi watu walikuwa wanafanya wasiyoyapenda/amini ili mradi tu kuwa upande wa kumfurahisha JIWE. Kaondoka, watu sasa wanarudi kwenye UHALISIA!
Screenshot_20210319-001734.png
 
Back
Top Bottom