Ustaarabu ni kitu cha bure

Ustaarabu ni kitu cha bure

MJUNKI

Member
Joined
May 27, 2013
Posts
65
Reaction score
18
Katika pita pita za kutafuta maisha,nimepita mitaa ya magomeni mapipa nikaona dampo limeanzishwa barabarani..Jamani hii ni aibu kubwa kutupa taka ovyo,ukizingatia hata barabara yenyewe haijafunguliwa rasmi na mwendo kasi haujaanza kufanya kazi.
 

Attachments

  • 1422019736338.jpg
    1422019736338.jpg
    58 KB · Views: 143
  • 1422019922032.jpg
    1422019922032.jpg
    60.9 KB · Views: 130
...ukiuliza mtendaji wa huu mtaa ni ccm tena kashinda juzi, tukiwambia ccm kazi yao kupiga hela tu watu hawaelewi, ona sasa haya mambo. na watu wanaona sawa tu...
 
Baada ya miezi sita hzo taka unakuta zimejaa hata pa kupita hakuna,inasikitisha sana.
 
Back
Top Bottom