J John W. Mlacha JF-Expert Member Oct 4, 2007 3,504 1,341 Oct 22, 2012 #2 tena kajinunulia lile chupa kubwa . Maana yake anajua kuwa anaenda kupigwa mabomu
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,097 Oct 22, 2012 Thread starter #3 Hapop ni viunga vya ikulu
COURTESY JF-Expert Member Jun 16, 2011 2,006 706 Oct 22, 2012 #4 Huyu nae kapotea njia,wenzake wamemkimbia kabaki mikononi mwa mwera!
Wingu JF-Expert Member Jan 14, 2011 4,318 401 Oct 22, 2012 #5 Huyu alificha kanzu yake kwenye mfuko kufika kitaa cha ikulu akachomoa
Azizi Mussa JF-Expert Member May 9, 2012 9,172 7,428 Oct 22, 2012 #6 Black Bat said: tena kajinunulia lile chupa kubwa . Maana yake anajua kuwa anaenda kupigwa mabomu Click to expand... masikini! hapoutakuta kaacha familia inataabika niaje!
Black Bat said: tena kajinunulia lile chupa kubwa . Maana yake anajua kuwa anaenda kupigwa mabomu Click to expand... masikini! hapoutakuta kaacha familia inataabika niaje!
awp JF-Expert Member Jun 6, 2012 1,711 599 Oct 22, 2012 #7 wanachokitafuta watakipata, hawa jamaa wanaona heri wakale mabeans huko kuliko kutafuta chenji ya kula na familia zao
wanachokitafuta watakipata, hawa jamaa wanaona heri wakale mabeans huko kuliko kutafuta chenji ya kula na familia zao
K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 Oct 22, 2012 #8 wangempiga mzigo ajue ni haramu ikulu sio ya kwenda kwenda kama chooni
M mgomba101 JF-Expert Member Oct 21, 2011 1,817 706 Oct 22, 2012 #9 Ustaadh ameingia choo cha kike! atajuta kuwafahamu.