Wakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya Samsung Galaxy Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...View attachment 2024092
Hizi Simu za Fold ungefanya kwanza research kabla ya kununua, review nyimgimza wataalamu na user experience inaonesha sio simu durable zina matatizo ya ajabu ajabu
Hizi Simu za Fold ungefanya kwanza research kabla ya kununua, review nyimgimza wataalamu na user experience inaonesha sio simu durable zina matatizo ya ajabu ajabu
Wakuu msaada tutani ,nina changamoto ya kuingia menu kwa simu ya Samsung Galaxy Z ford 2 nimanisha mfano kuingia kwenye tigo pesa au mpesa kwa menu yake , kuunga vifurushi n.k tatizo limeanza ghafla ...View attachment 2024092
" Simu yako ya mkononi haitumiki
Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja "
nmejarbu simu ingine ina work lakn samsung s6 app haifunguki
Hao huduma kw watja hawajanipa msaada wowote