Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,879
Ilikuwa asubuhi na mapemaa jua linchomozaee...
Nikapokea Pm kutoka kwa C6 kwamba mida flani atakuwa mitaa ya town posta ivi..
Basi mi bila hiyana nikamwambia karibu sana msukuma huyu na namba nikamwachia ili akifika anipigie.
Mida ya saa nne hivi simu ikaita, kabla sijapokea mara ikakata,mh!
nikashangaa namba gani mpya hii inabip..na kwa jinsi sipendi zereu nikamweka hewani.
Kuumbe ni yeye mume wa charminglady!!!
Ananiambia mida ya lunch tym atakua posta...nikasema hiyo nzuri twende tukapate mlo pamoja.
Nikangojaweeeeeeeeeeeee.......uvumilivu ukanishinda....nikamweka hewani tena..hapokei simu!
Nikaona hapa nikichelewa nitaishia kula ukoko au nipige dash kabisa! Ikabidi niende kula tu mwenyewe..
Vile narudi tu ofisini mara huyo..nooo hakupiga..akanibip tena..dah..basi nikamweka hewani ndo amefika posta!
Tukaenda kuonana bana..i was SHOCKED kwa kweli!
Imagination yangu ya huyu mtu bana ah..nlidhani tozi flani kijana sharobaro mmoja ivi...
but I was all wrong!!!
Very smart young man...kijana mtanashati....Ana stori huyo mpaka nkachelewa kurudi ofisini aisee.....
But nilifurahi kuspend that afternoon with him!!!
CAUTION kwa charminglady...kuna hawa wadada cacico, gfsonwin, Madame B, na wengine ambao hawapo jf (kina Salma, bi Mariam, dada Anna, sijui nani)...usipochunga mzigo wako huyu jamaa harudi tena!!!
Hawa ni wachache tu kati ya waliompigia simu kwa muda ule mfupi tuliokuwa wote jana na wote ana dates nao leo, cjui atawezaje!!!!
Anyway, bwana C6 no harm intended...looking forward to meet u again before u go back....heheh..if u go back!!!
Nikapokea Pm kutoka kwa C6 kwamba mida flani atakuwa mitaa ya town posta ivi..
Basi mi bila hiyana nikamwambia karibu sana msukuma huyu na namba nikamwachia ili akifika anipigie.
Mida ya saa nne hivi simu ikaita, kabla sijapokea mara ikakata,mh!
nikashangaa namba gani mpya hii inabip..na kwa jinsi sipendi zereu nikamweka hewani.
Kuumbe ni yeye mume wa charminglady!!!
Ananiambia mida ya lunch tym atakua posta...nikasema hiyo nzuri twende tukapate mlo pamoja.
Nikangojaweeeeeeeeeeeee.......uvumilivu ukanishinda....nikamweka hewani tena..hapokei simu!
Nikaona hapa nikichelewa nitaishia kula ukoko au nipige dash kabisa! Ikabidi niende kula tu mwenyewe..
Vile narudi tu ofisini mara huyo..nooo hakupiga..akanibip tena..dah..basi nikamweka hewani ndo amefika posta!
Tukaenda kuonana bana..i was SHOCKED kwa kweli!
Imagination yangu ya huyu mtu bana ah..nlidhani tozi flani kijana sharobaro mmoja ivi...
but I was all wrong!!!
Very smart young man...kijana mtanashati....Ana stori huyo mpaka nkachelewa kurudi ofisini aisee.....
But nilifurahi kuspend that afternoon with him!!!
CAUTION kwa charminglady...kuna hawa wadada cacico, gfsonwin, Madame B, na wengine ambao hawapo jf (kina Salma, bi Mariam, dada Anna, sijui nani)...usipochunga mzigo wako huyu jamaa harudi tena!!!
Hawa ni wachache tu kati ya waliompigia simu kwa muda ule mfupi tuliokuwa wote jana na wote ana dates nao leo, cjui atawezaje!!!!
Anyway, bwana C6 no harm intended...looking forward to meet u again before u go back....heheh..if u go back!!!
Last edited by a moderator: